Ukipata mshahara tu, tenga akiba.Naombe ushauri wana jf mimi ni muajiriwa katika kampuni flani hiv mshahara wangu unakidh maitaji yngu yote tatizo nililonalo ni mzito wa kuweka akiba kwa ajili ya maendeleo ya baadae. Sasa nifanye nn ili tatzo hili liniondoke
Sent using Jamii Forums mobile app
Andika matumizi yako ya mwezi kwanza uone unakosea wapi then anza kupanga matumizi...Naombe ushauri wana jf mimi ni muajiriwa katika kampuni flani hiv mshahara wangu unakidh maitaji yngu yote tatizo nililonalo ni mzito wa kuweka akiba kwa ajili ya maendeleo ya baadae. Sasa nifanye nn ili tatzo hili liniondoke
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu ntakitafuta maana najiona mjingaTafuta kitabu cha richest man in Babylon ukisome nusu tu usipoelewa tena basi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fungua fixed a/c
Kabla hujapata hela panga budget kabisa
Usisahau kutoa zaka kamili(fungu la kumi)
Punguza vitu ambavyo Sio vya lazima
Weka malengo
Kuwa na adabu na pesa yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau kwenda kanisani leoFungua fixed a/c
Kabla hujapata hela panga budget kabisa
Usisahau kutoa zaka kamili(fungu la kumi)
Punguza vitu ambavyo Sio vya lazima
Weka malengo
Kuwa na adabu na pesa yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha...Usisahau kwenda kanisani leo
Utakuja kuniambia ulichojifunza leo
Punguza kuhonga, nimeacha hiyo kitu now nasevu hela nyingi balaa mpaka najishangaaa. Now nitampa hela ambaye atakuwa mke wangu,nimejiwekea principle ni mwiko kumpa mchumba hela.
Uchumba ni kama mahindi mzee,kama hupalili ,huweki mbolea unategemea utavuna mahindi bora?Punguza kuhonga, nimeacha hiyo kitu now nasevu hela nyingi balaa mpaka najishangaaa. Now nitampa hela ambaye atakuwa mke wangu,nimejiwekea principle ni mwiko kumpa mchumba hela.
Fixed account unaweka pesa kwa mkupuo sio za kudunduliza kidogo kidogoFungua fixed a/c
Kabla hujapata hela panga budget kabisa
Usisahau kutoa zaka kamili(fungu la kumi)
Punguza vitu ambavyo Sio vya lazima
Weka malengo
Kuwa na adabu na pesa yako
Sent using Jamii Forums mobile app