wazir2716
Member
- Dec 3, 2017
- 14
- 15
Naombe ushauri wana jf mimi ni muajiriwa katika kampuni flani hiv mshahara wangu unakidh maitaji yngu yote tatizo nililonalo ni mzito wa kuweka akiba kwa ajili ya maendeleo ya baadae. Sasa nifanye nn ili tatzo hili liniondoke
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app