Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
Na usijeeee.Dah basi siji tena kukutongoza maana utanitosa tu ngoja ndevi ziote kwanza. 😔😔
Na usijeeee.Dah basi siji tena kukutongoza maana utanitosa tu ngoja ndevi ziote kwanza. 😔😔
Sio fair lakini.Na usijeeee.
Kapambane na embe lako bana weeeeee.Sio fair lakini.
Hiyo ni sawa kwa msichana aseme hataki kuota matiti.
Wanatumia njia gani hadi hawapati ndevu au ni asili yao?Wewe umemuona mchina, mjapani au mkorea mwenye ndevu???-- ni 1 kwa 10000.
Kapambane na embe lako bana weeeeee.
Ndevu zina raha yake. Nyeusi, zilizojaaa zina masculinity flani hivi unajua yes nipo na kidume.
Hata ukilianzisha mtaani ile anatokeza tu watu wanajua dume hili.
Sio jogoo linakuwa kama tetea. Aku!
Hahahha sikuwezi asee. 😁😁😁😁Kapambane na embe lako bana weeeeee.
Ndevu zina raha yake. Nyeusi, zilizojaaa zina masculinity flani hivi unajua yes nipo na kidume.
Hata ukilianzisha mtaani ile anatokeza tu watu wanajua dume hili.
Sio jogoo linakuwa kama tetea. Aku!
Wanatumia njia gani hadi hawapati ndevu au ni asili yao?
Eti jamani.Hiyo ni sawa kwa msichana aseme hataki kuota matiti.
Habari wakuu
Mimi binafsi swala LA ndevu naliona kama kero ,nilikuwa nauliza ni namna gani mtu anaweza kufanya ili aisewe na ndevu .
Kuna muda ndevu zinanipotezea muda ,zinaharibu mwonekano kabisa ,nataman kidevu kiwe cheupe ,ndevu ni kero tupu ...
Mwenye namna yeyote wakuu msaaada
Madevu ya nin sasa mkuu
Wanaume tusio na ndevu tunadharauliwa sana.
ati turubai la ngoziTumia magic mara kwa mara,ifanye magic part ya maisha yako
kila baada ya masaa 48 apply kisha jisafishe,zenyewe utaziona zinakuogopa
changamoto ni kwamba uwe na pesa ya kuhudumia ngozi itakayokomaa kwa magic
magic ikikukomaza Lotion pekee itayokubali hiyo ngozi ya kidevu+mashavu ni ya kuanzia 500,000
kwahiyo jiandae kuhudumia turubai la ngozi,maana haitakua ngozi bali turubai,kama n mtoto tutasema hili toto ni toto sugu
naiongelea ngozi itayobaki bila nywele kwasababu umeztoa ndevu zoteee na Magic,unachokitafuta utakipata buraza,jipge selfie mara ya mwisho mwisho kabla hujaanza fata ushauri wangu.
sio bureAnataka manyonyo.