The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,136
- 50,996
Kama una issue nijulishe tu pm japo sijawahi kuitumia pm toka nijiunnge JF.Can you send me your Whatsap number ndugu yangu ili tuzungumze
Kama una issue nijulishe tu pm japo sijawahi kuitumia pm toka nijiunnge JF.Can you send me your Whatsap number ndugu yangu ili tuzungumze
Kama una issue nijulishe tu pm japo sijawahi kuitumia pm toka nijiunnge JF.
Ukiingia JF utaona juu kuna ki alama cha bahasha,kifungue,utaona ujumbe wa Start new conversations una press hapo kisha utaona neno Recipients, hapo una tag jina halafu unaandika ujumbe.Nime jaribu naona siwezi kukutumia sms
Ukiingia JF utaona juu kuna ki alama cha bahasha,kifungue,utaona ujumbe wa Start new conversations una press hapo kisha utaona neno Recipients, hapo una tag jina halafu unaandika ujumbe.
Ngoja wataalamu waje kukupa muongozo zaidi.View attachment 1798147
Ume ona jinsi gani wanavyo ni andike
Jeshini mnaripoti lini?Mimi ni kijana mwenzio
Nime oa ila kwasasa ndoa yangu aipo tena yaani Sipo tena na mke wangu
Sasa Tatizo lilikuja vipi
Mimi nili safiri kwenda zangu usa ndugu zangu wali nifanyia visit invitation
Nika muacha mke wangu dar es salam
Sasa nilivyo kuwa kule nikawa na ongeya naye kama kawaida tu Ila kulifikia kipindi akawa Ana ni jibu mambo ya ovyo ovyo nikitaka kumfokea mara Ana niambia ame ni choka sujuwi nini
Kiburi kilipanda mtoto wa kike akafikia atua ya kuniambia nime kukataa ili ni kuonyeshe kama marekani sio kitu mbele yangu
Yaani maneno ya kujiamini saaana
Mpaka aka fikia atua ya kuniacha ila mke wangu bado na mpenda saana Nina jaribu kumuambia nini tatizo Ana ni ambia ataki tu na siku izi she doesn’t call me tena mme wangu ni Jina langu tu
Sasa jamani ni saidieni ni fanye nini ili mke wangu arudi nime jaribu kula wanawake wengine lakini naona mmmm ni bure kweli yaani ame ni ganda kweli kweli
Can you send me your Whatsap number ndugu yangu ili tuzungumze
Kwa uandishi huo usioeleweka na kushindwa kujieleza, ana haki ya kukukataa!Mimi ni kijana mwenzio
Nime oa ila kwasasa ndoa yangu aipo tena yaani Sipo tena na mke wangu
Sasa Tatizo lilikuja vipi
Mimi nili safiri kwenda zangu usa ndugu zangu wali nifanyia visit invitation
Nika muacha mke wangu dar es salam
Sasa nilivyo kuwa kule nikawa na ongeya naye kama kawaida tu Ila kulifikia kipindi akawa Ana ni jibu mambo ya ovyo ovyo nikitaka kumfokea mara Ana niambia ame ni choka sujuwi nini
Kiburi kilipanda mtoto wa kike akafikia atua ya kuniambia nime kukataa ili ni kuonyeshe kama marekani sio kitu mbele yangu
Yaani maneno ya kujiamini saaana
Mpaka aka fikia atua ya kuniacha ila mke wangu bado na mpenda saana Nina jaribu kumuambia nini tatizo Ana ni ambia ataki tu na siku izi she doesn’t call me tena mme wangu ni Jina langu tu
Sasa jamani ni saidieni ni fanye nini ili mke wangu arudi nime jaribu kula wanawake wengine lakini naona mmmm ni bure kweli yaani ame ni ganda kweli kweli
Sasa we umemuacha mwenzio bongo wakati naye alikuwa na hamu ya kukwea pipa.Nili muaga na nimesha rudi TZ kwasasa nili kuwa nime enda kwenye wedding ya ndugu yangu
Nenda kwa mganga ukampige mikosi asiolewe na yeyote.Mimi ni kijana mwenzio. Nimeoa ila kwa sasa ndoa yangu aipo tena, yaani sipo tena na mke wangu.
Sasa tatizo lilikuja vipi
Mimi nili safiri kwenda zangu usa ndugu zangu wali nifanyia visit invitation nikamuacha mke wangu Dar es Salaam
Sasa nilivyokuwa kule nikawa naongea naye kama kawaida tu Ila kulifikia kipindi akawa ananijibu mambo ya ovyo ovyo. Nikitaka kumfokea mara ananiambia amenichoka sujui nini.
Kiburi kilipanda mtoto wa kike akafikia hatua ya kuniambia nimekukataa ili nikuonyeshe kama Marekani sio kitu mbele yangu
Yaani maneno ya kujiamini saaana.
Mpaka akafikia hatua ya kuniacha ila mke wangu bado nampenda saana. Ninajaribu kumwambia nini tatizo ananiambia hataki tu na siku hizi, she doesn’t call me tena mume wangu ni Jina langu tu.
Sasa jamani ni saidieni ni fanye nini ili mke wangu arudi nimejaribu kula wanawake wengine lakini naona mmmm ni bure kweli yaani ame niganda kweli kweli
Thamani ya mke ni kubwa kuliko huko uliko mzee. Sisi tulio oa tunijua hilo.Mimi ni kijana mwenzio. Nimeoa ila kwa sasa ndoa yangu aipo tena, yaani sipo tena na mke wangu.
Sasa tatizo lilikuja vipi
Mimi nili safiri kwenda zangu usa ndugu zangu wali nifanyia visit invitation nikamuacha mke wangu Dar es Salaam
Sasa nilivyokuwa kule nikawa naongea naye kama kawaida tu Ila kulifikia kipindi akawa ananijibu mambo ya ovyo ovyo. Nikitaka kumfokea mara ananiambia amenichoka sujui nini.
Kiburi kilipanda mtoto wa kike akafikia hatua ya kuniambia nimekukataa ili nikuonyeshe kama Marekani sio kitu mbele yangu
Yaani maneno ya kujiamini saaana.
Mpaka akafikia hatua ya kuniacha ila mke wangu bado nampenda saana. Ninajaribu kumwambia nini tatizo ananiambia hataki tu na siku hizi, she doesn’t call me tena mume wangu ni Jina langu tu.
Sasa jamani ni saidieni ni fanye nini ili mke wangu arudi nimejaribu kula wanawake wengine lakini naona mmmm ni bure kweli yaani ame niganda kweli kweli
Kama ni mkeo,si mshenga yupo!?Mwambie kisa kizima,Atakupa ushauri.Sasa apo kwenye kumuacha ndo na jikuta siwezi kabisa
Yaani na jaribu kujifosi kumsau mpaka nime tongoza rafiki yake ime shindikana yaani
Yaani sijuwi ni tumie jia gani
Move on it’s over .Kwanza umejaribu wanawake wengine your disgusting and I’m glad she drop you like a hot potato .Mimi ni kijana mwenzio. Nimeoa ila kwa sasa ndoa yangu aipo tena, yaani sipo tena na mke wangu.
Sasa tatizo lilikuja vipi
Mimi nili safiri kwenda zangu usa ndugu zangu wali nifanyia visit invitation nikamuacha mke wangu Dar es Salaam
Sasa nilivyokuwa kule nikawa naongea naye kama kawaida tu Ila kulifikia kipindi akawa ananijibu mambo ya ovyo ovyo. Nikitaka kumfokea mara ananiambia amenichoka sujui nini.
Kiburi kilipanda mtoto wa kike akafikia hatua ya kuniambia nimekukataa ili nikuonyeshe kama Marekani sio kitu mbele yangu
Yaani maneno ya kujiamini saaana.
Mpaka akafikia hatua ya kuniacha ila mke wangu bado nampenda saana. Ninajaribu kumwambia nini tatizo ananiambia hataki tu na siku hizi, she doesn’t call me tena mume wangu ni Jina langu tu.
Sasa jamani ni saidieni ni fanye nini ili mke wangu arudi nimejaribu kula wanawake wengine lakini naona mmmm ni bure kweli yaani ame niganda kweli kweli
Ulikaa Marekani muda gani??Nimesha rudi TZ marekani nili kuwa nime pata mwaliko tu wa kuzuria wedding ya brother yangu.
Mkeo ana experience na relationship wewe huna .Experience muhimu.Wako akiwa kwako akitoka nje si wako .Watu Wanakula beef walahi hana hofu.Huyo mkeo ni M star Mzoefu .Watu wanakula beef walahi hana hofu .Mimi ni kijana mwenzio. Nimeoa ila kwa sasa ndoa yangu aipo tena, yaani sipo tena na mke wangu.
Sasa tatizo lilikuja vipi
Mimi nili safiri kwenda zangu usa ndugu zangu wali nifanyia visit invitation nikamuacha mke wangu Dar es Salaam
Sasa nilivyokuwa kule nikawa naongea naye kama kawaida tu Ila kulifikia kipindi akawa ananijibu mambo ya ovyo ovyo. Nikitaka kumfokea mara ananiambia amenichoka sujui nini.
Kiburi kilipanda mtoto wa kike akafikia hatua ya kuniambia nimekukataa ili nikuonyeshe kama Marekani sio kitu mbele yangu
Yaani maneno ya kujiamini saaana.
Mpaka akafikia hatua ya kuniacha ila mke wangu bado nampenda saana. Ninajaribu kumwambia nini tatizo ananiambia hataki tu na siku hizi, she doesn’t call me tena mume wangu ni Jina langu tu.
Sasa jamani ni saidieni ni fanye nini ili mke wangu arudi nimejaribu kula wanawake wengine lakini naona mmmm ni bure kweli yaani ame niganda kweli kweli
Ni garungi mukwano! Ubayo?!