King snr
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 1,165
- 1,474
- Thread starter
- #21
dogo ushauri wangu nenda shule ya alpha gems ipo moro ada ni laki hv shule ni nzuri sana. komaa na wazazi wakupeleke hawashindw hiyo laki 9.
achana na hiyo special diploma nenda kwanza shule ukasome.
hiyo shule inachukua comb zipi na ni bweni au day?