Nifanye nini kutimiza malengo yangu

Nifanye nini kutimiza malengo yangu

dogo ushauri wangu nenda shule ya alpha gems ipo moro ada ni laki hv shule ni nzuri sana. komaa na wazazi wakupeleke hawashindw hiyo laki 9.
achana na hiyo special diploma nenda kwanza shule ukasome.

hiyo shule inachukua comb zipi na ni bweni au day?
 
kaka, kama hamna namna kabisa nenda tu kasome halafu utarudi

nakupa mfano wa broo wangu alipenda sana kusoma kilimo hakua na uwezo hapo mwanzoni akachaguliwa ualimu akasoma 3yrs akamaliza akaajiriwa kajikusanya zaidi ya 5yrs kapata pesa akaacha akaenda mwanza pale kuna chuo cha mifugo kasoma diploma 3yrs kamaliza kaajiriwa arusha kapiga 1yr saiv anachukua dgree anaingia 2yr

note; age is just a number, kikubwa uzima ndo wakuomba kwa MUNGU

nashkuru kwa ushauri wako mkuu ngoja nikakomae tu ualim labda nitafkia malengo hapo badae
 
Kuna kozi imeanzishwa kwenye idara ya Afya inaitwa COMMUNITY HEALTH, inasomwa kwa mwaka mmoja, vigezo vyake ni form four awe na pass za Biology D, na masomo mengine yoyote matatu kasoro ya DINI awe na Pass za D. Application zinatumwa kwenye mtandao wa NACTE. www.nacte.go.tz. Mhitimu ataajiriwa na serikali. Waambieni na wengine tafadhali hiyo ni fursa. The earlier the better.

Deadline ni trh 18/9/2015
 
Kuna kozi imeanzishwa kwenye idara ya Afya inaitwa COMMUNITY HEALTH, inasomwa kwa mwaka mmoja, vigezo vyake ni form four awe na pass za Biology D, na masomo mengine yoyote matatu kasoro ya DINI awe na Pass za D. Application zinatumwa kwenye mtandao wa NACTE. www.nacte.go.tz. Mhitimu ataajiriwa na serikali. Waambieni na wengine tafadhali hiyo ni fursa. The earlier the better.

Deadline ni trh 18/9/2015

Mkuu unaweza toa link tusome au kama vip elezea vizuri utusaidie
 
DrWho.. nimepiga simu CUF muda mrefu hakuna anayepokea...na sina jinsi nyingine ya kuwasiliana nao.. nilimtafuta Wilbroad Slaa wa Chadema nikazungumza naye, na Mohammed Khatib nikazungumza naye.. hawa wa CUF inakuwa vigumu kweli.... any help nitashukuru..!

Unaendelea na salary
 
Siku zote napenda kuwa lab.technician na ndio malengo yangu maana naipenda toka moyoni sasa tatizo linakuja katika kutimiza malengo yangu
Nimemaliza kidato cha nne (credit 1.9) sikuchaguliwa kidato cha tano nikachaguliwa special diploma udom(chem&math) sikuwaza kuja kuwa mwalimu na bado siamini kama nitakuwa mwalimu niliwashawishi wazazi niende advance private wakasema hawana uwezo nikawashawishi chuo cha afya pia hawana uwezo wanaona ni bora niende special diploma sasa hapa ndo ninapoona ugumu katika kufanikisha malengo yangu
Naombeni msaada wenu wa mawazo inawezekana kubadilisha kozi nikifika chuoni?
Nifanye nini ili niweze kutimiza malengo yangu?
napenda sana lab.technician

kama vp kjana we komaa upate huo ualimu then badae uendelee na mambo mengine unayoyaxema! tumia akil xana kufanya maamuz
 
Kuna kozi imeanzishwa kwenye idara ya Afya inaitwa COMMUNITY HEALTH, inasomwa kwa mwaka mmoja, vigezo vyake ni form four awe na pass za Biology D, na masomo mengine yoyote matatu kasoro ya DINI awe na Pass za D. Application zinatumwa kwenye mtandao wa NACTE. National Council for Technical Education (NACTE). Mhitimu ataajiriwa na serikali. Waambieni na wengine tafadhali hiyo ni fursa. The earlier the better.

Deadline ni trh 18/9/2015

majibu yao wanatoa ln?
 
pole mjamaa wangu kumbuka mungu yupoo na alikuumba kwa makusud yake. kumbuka changamoto ni nyingi co ww tu unazpitia bali na iman wapo weng, mwenyewe niko kwenye wakat mgumu san wa kimasomo ila na iman ungu ni mkubwa tuu kama ipo ipo tuu amini hivo. shukuru ulichonacho amin kuna wenzio wanakitafuta hawakipat wanarudia pepa mara kibao lakin hawafanikiwi. so big kwa ulichokipata kitumie vizur. kama kungekua na sehem ya kujitafutia pesa ningekushauri ufanye ivo ujikusanyie mkwanja wako kama miaka miwil au mi3. ila mungu ana makusud yake c umeona mlango mmoja umekataa kufunguka mwingine ukafunguka (special diploma ya udom)
jikaze ndugu yang kama mm kaka yako hapa kapge tuu hiyo dip ya education ukitoka hapo kwa masomo ya chem na math uhakika wa ajira upo. then jichange halaf ndo uje kupga zako dip ya lab tech yako. i wish u the best my friend kikubwa tumuombe mungu other doors will open trust me.
 
halaf jembe emb nipe magtokeo yako ya chem bio na phy. kama una c za bio na chem halaf phy d. ushatoka jarib next year kua pply vyuo vya gvt utaweza kupata ujajua kila mtu ana bahat yake.
 
pole mjamaa wangu kumbuka mungu yupoo na alikuumba kwa makusud yake. kumbuka changamoto ni nyingi co ww tu unazpitia bali na iman wapo weng, mwenyewe niko kwenye wakat mgumu san wa kimasomo ila na iman ungu ni mkubwa tuu kama ipo ipo tuu amini hivo. shukuru ulichonacho amin kuna wenzio wanakitafuta hawakipat wanarudia pepa mara kibao lakin hawafanikiwi. so big kwa ulichokipata kitumie vizur. kama kungekua na sehem ya kujitafutia pesa ningekushauri ufanye ivo ujikusanyie mkwanja wako kama miaka miwil au mi3. ila mungu ana makusud yake c umeona mlango mmoja umekataa kufunguka mwingine ukafunguka (special diploma ya udom)
jikaze ndugu yang kama mm kaka yako hapa kapge tuu hiyo dip ya education ukitoka hapo kwa masomo ya chem na math uhakika wa ajira upo. then jichange halaf ndo uje kupga zako dip ya lab tech yako. i wish u the best my friend kikubwa tumuombe mungu other doors will open trust me.

mkuu nashukuru sana kwa ushauri wako umenitia moyo
 
halaf jembe emb nipe magtokeo yako ya chem bio na phy. kama una c za bio na chem halaf phy d. ushatoka jarib next year kua pply vyuo vya gvt utaweza kupata ujajua kila mtu ana bahat yake.

chem c,bio b,phy e...
 
wallah phy ungepa kama d ingekua poa sana yan kucngekua na longolongo but pamoja na hvyo hongera stil u can do somthng big
 
mkuu yani na mimi ni majanga yaleyale nilipenda sana kuja kuwa lab technician lakn ndo hivyo udom naona kama vile ni mkosi make babu mzaa mama alikua mwalimu(R.I.P),mama nae alikua mwalimu(R.I.P) na mimi tena niwe mwalimu??? matokeo yangu ni 1.7credt phyC,bioC,chemC.hivi itawezekana nikiwa mwalimu halafu nafundisha 3yrs then narudi kuxoma diploma ya lab tech?? na wataruhusu??
 
Back
Top Bottom