nagod
Member
- Nov 28, 2023
- 10
- 12
Niaje wadau,
Kila nikilala naiota USA japo sijui ntawezaje kuishi kule hata nipambane na life la kule.
Elimu yangu ni ya kawaida sana, sijafika University japo lugha sio shida sana. Kama kuna mtu kaishi kule au ana idea kama yangu anipe ushauri kama inawezekana kuishi kule au vipi ili njue akili naiweka vipi.
Kila nikilala naiota USA japo sijui ntawezaje kuishi kule hata nipambane na life la kule.
Elimu yangu ni ya kawaida sana, sijafika University japo lugha sio shida sana. Kama kuna mtu kaishi kule au ana idea kama yangu anipe ushauri kama inawezekana kuishi kule au vipi ili njue akili naiweka vipi.