Yeah umesema kweli Kaka yangu yupo hivyo… ameoa mwanamke mzuri sanaaaa na yeye sura yake ya kutishia watoto mkewe ni mtu ambae hababaishwi huwa tunapiga story ananihadithia mpk kuhusu madanga yake
Anyway nipe ushaurii mkuu
Mtu akikufanyia ubaya wewe haimaanishi hakuna anaowafanyia Wema.
Mtu anaweza kuwa jambazi na muuaji Kwa A Wakati huohuo akawa na Upendo na mlienda Uhai Kwa MTU B.
Huo ndio ushauri wangu
Inawezekana bro ako anamwonea wivu huyo jamaa! Dada wa siku hizi na nyie hamjatulia isijekuwa aliwahi kukuwasha! Sasa anaoa wivu jamaa linaenda kupewa bapa kama lote!Nilishamuuliza kwamba labdaa anamuona malaya anawanawake wengi hakasema kuwa anavyomfahamu hizo tabia hana yaani labda kama anafanya kimyakimya hila hawezi kumsingizia hajawai kusikia skendo mbaya ya umalaya kwa mpnz wangu
Sasa sababu ya maana hanipi
Inawezekana bro ako anamwonea wivu huyo jamaa! Dada wa siku hizi na nyie hamjatulia isijekuwa aliwahi kukuwasha! Sasa anaoa wivu jamaa linaenda kupewa bapa kama lote!