Nifanye nini Kaka yangu hamtaki mchumba wangu

Yeah umesema kweli Kaka yangu yupo hivyo… ameoa mwanamke mzuri sanaaaa na yeye sura yake ya kutishia watoto mkewe ni mtu ambae hababaishwi huwa tunapiga story ananihadithia mpk kuhusu madanga yake

Anyway nipe ushaurii mkuu

Mtu akikufanyia ubaya wewe haimaanishi hakuna anaowafanyia Wema.

Mtu anaweza kuwa jambazi na muuaji Kwa A Wakati huohuo akawa na Upendo na mlienda Uhai Kwa MTU B.

Huo ndio ushauri wangu
 
Nilishamuuliza kwamba labdaa anamuona malaya anawanawake wengi hakasema kuwa anavyomfahamu hizo tabia hana yaani labda kama anafanya kimyakimya hila hawezi kumsingizia hajawai kusikia skendo mbaya ya umalaya kwa mpnz wangu

Sasa sababu ya maana hanipi
Inawezekana bro ako anamwonea wivu huyo jamaa! Dada wa siku hizi na nyie hamjatulia isijekuwa aliwahi kukuwasha! Sasa anaoa wivu jamaa linaenda kupewa bapa kama lote!
 
Inawezekana bro ako anamwonea wivu huyo jamaa! Dada wa siku hizi na nyie hamjatulia isijekuwa aliwahi kukuwasha! Sasa anaoa wivu jamaa linaenda kupewa bapa kama lote!

Sie kwetu hatuna laana hiyo mkuu ya ndugu kukulana tunaishi Kama watoto wa mama mmoja
 
Back
Top Bottom