mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,317
- 72,090
mamamzungu ndo huyu mkuu wa CoICT hapa MUST?
Mwambie akuoe yeye
Ndio akuoe yeyeNi Kaka yangu bro
kaka yako hajakosea, wewe ni kiruka njiahuyo mchepuko
Wanaume tukipishana kidogo utaskiaSasa kama ananioa si ndio urafik unadumu maana hanichezei
Hujamuuliza ndio maanaSasa mbona haniambiii
kaka yako hajakosea, wewe ni kiruka njia



sasa wewe huyo mtoto mimi anaweza kunioa na tunaringana umriiimapenzi hayana umri rafki yangusasa wewe huyo mtoto mimi anaweza kunioa na tunaringana umriii
Mara nyingi Kaka wanaowapangia Wadogo zao wakike wanaume wa kuwaoa ndoa zao hazijatulia, na wake zao huwapelekesha vibaya Mno.
Angalia kati ya Mungu au shetani na vigezo vyao katika hali ya kudumu umempendea upande gani utapata jibuUshaurii sijaona naona nimelowa tu
Wanaume tukipishana kidogo utaskia
"utaniambia nini, namkaza dadaka"
"dadako ana joto"
hata ule utani wa mpira, anaweza kujibu "ntafunga bao kwa dada yako"
Hii kitu huwaga hatuwezi vumilia wanaume, huwa inauma sanaaaa !! na huwa tunajuana tabia kwamba flani ana michepuko basi hatupendi kuona mtu huyo tena awe rafiki achezee dada yetu.
Huwa tunaona ni heri dada zetu wawe na watu wasio marafiki zetu inakua poa zaidi
Nikiyapitia maneno yako unayosema kuwa ni ya kaka yako kumhusu huyo mchumba wako......nikiyaweka kwenye mizani nayaona ni mepesi na hayana uzito wa kuangusha penzi la wawili waliopendana.........
Nadhani kaka yako anapitia tu mshituko tu wa kijana mwenzie anatembea na dada yake kwa hivyo amezongwa na fikra za kivulana na wivu wa kitoto........
Ni jambo la kawaida na litaisha kwake kadri muda unavyoenda......
Inawezekana aliyosema yakawa na ukweli ndani yake lakini kadri unavyokwenda watu hubadilika na kuwa watu wema na kuanza maisha mapya.......hivyo ni vibaya kumhukumu kwa mienendo ya nyuma.......
Kama wewe mwenyewe huoni baya kwake na yupo kwenye mipango na malengo mliyojiwekea basi dumu kwenye hilo.......na si vyema kumuambia jambo hilo kwani atakuona bado una akili za kitoto......
Hujamuuliza ndio maana
NakaziaStory za kufikirika mara nyingi huwa tamu sana
mapenzi hayana umri rafki yangu
wewe ni kwamba hujatulia![]()


niachee bhn Mimi sideti wanachuo kwanza huyo ni ex wa utotoKipendacho roho hula nyama mbichi,we olewa tu ,yakikushinda ni sehem ya maisha.Mahusiano hayana fundi