Nifanye nini ili tabia ya punyeto niache?

Nifanye nini ili tabia ya punyeto niache?

Wakuu nimekua mhanga sana wa kujichua, nimekuwa nikifanya hivyo tangu nimevunja ungo.

Hali hii imefanya nabadili wanaume sababu kila naedate nae najikuta hanilidhishi hata tukienda 30mns non stop.

Nimekuwa mhanga sana wa mambo haya cz nikifanya najilidhisha kabisa hamu zote zinaisha tofauti na mwanaume!

Nisaidieni jamani kabla sijafika mbali nawaza sana hii hali nitaiachaje.
Tafuta addict mwenzako ili mue mnapokezana kujichua.
 
Fika mbali kwanza ili uone umepata faida gani..

Na siku zote utambue maamuzi ya kuacha jema au baya lipo kwa mhusika mwenyewe wala sisi hatuwezi kukusaidia kama wewe hujaamua.

Hebu piga punyeto kwanza kabla hujareply hii komenti.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wakuu nimekua mhanga sana wa kujichua, nimekuwa nikifanya hivyo tangu nimevunja ungo.

Hali hii imefanya nabadili wanaume sababu kila naedate nae najikuta hanilidhishi hata tukienda 30mns non stop.

Nimekuwa mhanga sana wa mambo haya cz nikifanya najilidhisha kabisa hamu zote zinaisha tofauti na mwanaume!

Nisaidieni jamani kabla sijafika mbali nawaza sana hii hali nitaiachaje.
wanaume unaokutana nao hawaja kujulia, sababu kujichua ni kujichezea sana inabidi wakufanyie maandalizi konki na yenye hisia za kukupoteza kabisa ulimwengu huu wa mawazo then ukishaanza kupata zile raha zako ndo wakuchape nao, hakika hutokumbuka kujichua ila utakumbuka shughuli uliyopewa. tafuta mwanaume kazi si hawa kujiremba na kujipodoa. epuka wa kinondoni.
 
Mkuu endelea tu na nyeto, hadi utapoona imetosha
 
Nidhanivyo,ni kwamba uzoefu wako wa kujichua umekupa uwezo wa kujijua zaidi ni namna gani unaweza ukafurahia tendo,sehemu zipi unapenda ziguswe zaidi au zisuguliwe zaidi na kwa namna gani.

Nadhani inabidi upate mwanaume ambaye atalielewa hilo,na ataweza kukufanyia utaalamu ambao utaendana na jinsi wewe ujiridhishavyo,itahitajika uwe muwazi kwake naye awe mwelewa wa hilo.Hapo upendo kati yenu lazima uhusike.

Na sidhani huwa unajichua dakika 30 'non-stop',kwa hiyo suala la 'sex' si la kuweza kusugua muda mrefu ,ni suala la kuelewana nini mnapenda na mnaridhishana vipi.
 
Wakuu nimekua mhanga sana wa kujichua, nimekuwa nikifanya hivyo tangu nimevunja ungo.

Hali hii imefanya nabadili wanaume sababu kila naedate nae najikuta hanilidhishi hata tukienda 30mns non stop.

Nimekuwa mhanga sana wa mambo haya cz nikifanya najilidhisha kabisa hamu zote zinaisha tofauti na mwanaume!

Nisaidieni jamani kabla sijafika mbali nawaza sana hii hali nitaiachaje.
Pole sana,ndiyo maana wakati wa kusex unajisugua na vidole kwa kuyafinya mashavu ya papuchi yako,
Kwa kweli utanisamehe bure,maana hata kuvumilia pia nilishindwa ndiyo maana unaona niliamua kusepa pia!
 
Wakuu nimekua mhanga sana wa kujichua, nimekuwa nikifanya hivyo tangu nimevunja ungo.

Hali hii imefanya nabadili wanaume sababu kila naedate nae najikuta hanilidhishi hata tukienda 30mns non stop.

Nimekuwa mhanga sana wa mambo haya cz nikifanya najilidhisha kabisa hamu zote zinaisha tofauti na mwanaume!

Nisaidieni jamani kabla sijafika mbali nawaza sana hii hali nitaiachaje.
Njoo nikufukue tope kwanza
 
Back
Top Bottom