Nifanye nini ili tabia ya punyeto niache?

Nifanye nini ili tabia ya punyeto niache?

Ulifanikiwa kujua ni ya nani?


 
Ulifanikiwa kujua ni ya nani?
tuachane hayo ni yazamani
 
pole sana mpendwa wangu....ili uache hiyo tabia ni vyema ukatafuta mume akakuoa...lasivyo utaendelea na hiyo tabia na ikikuathiri zaidi unaweza kujikuta unaangukia kwenye mahusiano ya watu wa jinsia moja...namuomba Mungu akuvushe salama kwenye mtihani unaopitia
 
Fika mbali kwanza ili uone umepata faida gani..

Na siku zote utambue maamuzi ya kuacha jema au baya lipo kwa mhusika mwenyewe wala sisi hatuwezi kukusaidia kama wewe hujaamua.

Hebu piga punyeto kwanza kabla hujareply hii komenti.
Hahahahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli apige ka moja ka haraka kwanza kabla washauri hawaja m confuse
 
Kwani what is dakika 30? Wewe unavyojichua unatumia dakika 30? Most probably not.

Waonyeshe partners wako techniques zako zinazokufikisha unapojichua ili wao wazitumie kukufikisha. Waonyeshe njia.
 
Kwani what is dakika 30? Wewe unavyojichua unatumia dakika 30? Most probably not.
Waonyeshe partners wako techniques zako zinazokufikisha unapojichua ili wao wazitumie kukufikisha. Waonyeshe njia.
thnx kwa ushauri
 
pole sana mpendwa wangu....ili uache hiyo tabia ni vyema ukatafuta mume akakuoa...lasivyo utaendelea na hiyo tabia na ikikuathiri zaidi unaweza kujikuta unaangukia kwenye mahusiano ya watu wa jinsia moja...namuomba Mungu akuvushe salama kwenye mtihani unaopitia
thnx kwa ushauri
 
Ni verified user wa kiume. Akawa na ID ya like ya kimcharuko.

Moderaters wakaiunganissha.

Bwana bwana.
Kumbe yule jamaa alikuwa na [emoji723] ya kike [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom