Katoto kadhuri
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 759
- 327
Wakuu nimekua mhanga sana wa kujichua, nimekuwa nikifanya hivyo tangu nimevunja ungo.
Hali hii imefanya nabadili wanaume sababu kila naedate nae najikuta hanilidhishi hata tukienda 30mns non stop.
Nimekuwa mhanga sana wa mambo haya cz nikifanya najilidhisha kabisa hamu zote zinaisha tofauti na mwanaume!
Nisaidieni jamani kabla sijafika mbali nawaza sana hii hali nitaiachaje.
Hali hii imefanya nabadili wanaume sababu kila naedate nae najikuta hanilidhishi hata tukienda 30mns non stop.
Nimekuwa mhanga sana wa mambo haya cz nikifanya najilidhisha kabisa hamu zote zinaisha tofauti na mwanaume!
Nisaidieni jamani kabla sijafika mbali nawaza sana hii hali nitaiachaje.