Nifanye nini ili niweze kumsahau ex??

Nifanye nini ili niweze kumsahau ex??

naombeni ushauri juu ya kumsahau mpenz wa zamani ambaye tulipendana sana. huwa tunapigiana cm, kuchat kwa sms na mengine kibao tukikumbushia zamani kitu ambacho naona si kizuri kabisa ilhali yey anampz mwingne . Nifanyeje ili niwweze kumsahau kabisa????
Inaonekana hili tatizo la X- limekua gonjwa sugu sasa! dawa yake put "X=0" and choose "Y = Infinity" kushne..
 
Kama mtu mstarabu jitahidi kuonyesha unaheshimu mahusiano ya watu wengine hata kama wao wenyewe hawaonyeshi kuyaheshimu. Hivyo kama umedhamiria basi nakuomba kata mawasiliano, mwambie hutaki seriously na umwambie kama yeye hayajali basi wewe si mtu wa kuharibia watu mahusiano. Kama mgekuwa mnapendana mungekuwa pamoja mpaka sasa, no matter what circumstances.

kweli kabisa rafik nashkuru kwa ushau wako mzur, mana wengne humu wanashangaza sana bada ya kuadvic fujo 2pu! thx
 
yan nyie bado mnapendana mpaka hapo mmetoana bikra nn c mseme tu

huo ni mtazamo tu! stil hujatoa ushaur!! hapa mada ni ushaur jins ya kumsahau ametoa bikra au hakutoa is not an issue!
 
naombeni ushauri juu ya kumsahau mpenz wa zamani ambaye tulipendana sana. huwa tunapigiana cm, kuchat kwa sms na mengine kibao tukikumbushia zamani kitu ambacho naona si kizuri kabisa ilhali yey anampz mwingne . Nifanyeje ili niwweze kumsahau kabisa????

huyo ni wangap unaachana nae?
 
Wengi wameshauri,pengine nami niongezee kidogo.kwanza hiyo hali ya kuendelea kuwasiliana nao mwishowe utajikuta a cheapo staff.maana ipo siku mtataka kukumushia na mengine wakati yy anampenzie kwako itakuwa "hit and hide".kwaiyo regard youself as a valuable person nami naamini hivyo ww ni wathamani kubreak na watu hata kama ni mia usijione ww si wathamani bali huko ni kuheshimu hisia japo sio nzuri sana inabidi sometimes ujadiliane na hisia zako uzibembeleze zisikuelewe maana hisia mara nyingi zinatawala kidikteta sana lakini zinaingilika kimjadala.pia hali hii inaweza kukufanya usidumu ktkt mahusiano mengine hasa pale mwenza wako atakapogundua unachat ama unawasiliana na x wako kwa uzoefu wangu ktk saikolojia na ushauri wa mambo haya ya mapenzi karibu asilimia tisin ya zilipendwa wanapokuja kuwa ktk mawasiliano basi kama watachat msgzaidi ya sita moja lazima iwe na kukumbusha ama kutaniana wht they had been doing halikadhalika ktk maongezi sasa hii inakupunguzia concentration ktk uhsiano wako wa sasa na mpenzi wako wa sasa huwa anapenda kuona yy anakufahamu zaidi kuliko mwengine.
Sasa ukitaka kumsahau na umchukie ww kumbuka mabaya yote aliyokufanyia usiruhusu kukumbuka mema.yaani x=o or less than o
then note life is full of choices,nobody is born to make u hap bt ur born to make urself hap
 
Kutamani kumsahau ni dalili ya kwamba u stil have filngs kwake,maana hapo hamchati kama marafiki tena sema kila mtu anayake moyoni kuna mmoja anapenda mwenzio na mmoja anawekwa kama substitute,ndo X alikwambia anataman mpenzi wake atoke ili uchat nae??kama bado anakuhtaj sana kwann mliachana?usidanganyike na maneno ya X kua busy na yako na utulie na mpnyz wako
 
Kutamani kumsahau ni dalili ya kwamba u stil have filngs kwake,maana hapo hamchati kama marafiki tena sema kila mtu anayake moyoni kuna mmoja anapenda mwenzio na mmoja anawekwa kama substitute,ndo X alikwambia anataman mpenzi wake atoke ili uchat nae??kama bado anakuhtaj sana kwann mliachana?usidanganyike na maneno ya X kua busy na yako na utulie na mpnyz wako

yap tena hapo naisi kama kuna balaa litakuja tokea litakuwa kubwa zaidi
 
Napitaaa!!!

Hiyo yaitwa emotion cheain kubwa kuliko kufanya nae tendo la ndo. Jianadae na wewe umpendae sasa awe anashindwa kuwasahau wapenzi wake wa zamani tena bado ana do nao.
 
Kweli itachukua mda kama bado unampenda..na suluhisho sio kutafuta mpenzi mwingine haraka haraka hiyo haitasaidia cha kufanya unatakiwa utulize akili kwanza kata mawasiliano kabisa na huyo mtu ikiwezekana badili hata namba ya simu na siku ukijisikia kumpigia usifanye hivo kua busy na mambo yako baada ya muda unaweza kutafuta mpenzi mwngine lakini kamwe usimtafuta mpenz mwingine kwa ajili ya kumsahau ex utakua unajidanganyA..watu yameshatukuta saiv tupo fresh tu mapenz haya unaweza kufa wewe unakonda mwenzio ananenepa.
 
delete no yake, kata mawasiliano, mpotezee...utaona ht wiki huchukui, kwishney unamsahau kabisa
 
inaelekea enzi mkiwa pamoja ulimpa vitu hadimu ambavyo hko alipo anavikosa inampelekea kukumbuka alipotoka hiyo ni moja kwa nini anakumbukia alipotoka.

cha msingi hapo ni kukutana nae katika neutral and public area na kuelezana ukweli juu ya hatari iliyoko endapo ataendeleza hiyo mambo na kumshauri tu akubaliane na ukweli halisi wa yaliyoko hivi sasa kila mahali lazima uwe na uzoefu ushampatia uzoefu wa kutosha anatakiwa awe mpole tu.
 
mmmh!!! badilisha namba ya simu au kumbuka mabaya yake kipindi upo nae ili ujikute unamchukia.

itabid nikumbuke mabaya alonifanyia mana apo kweny kubadilisha namba ya cm mmh hiyo namba ndio nimeiandika kweny cv na sehen kibao nilipoomba kaz sasa nisipopatikana watasema sipo siriaz!! thx
 
nami niongezee kidogo.kwanza hiyo hali ya kuendelea kuwasiliana nao mwishowe utajikuta a cheapo staff.maana ipo siku mtataka kukumushia na mengine wakati yy anampenzie kwako itakuwa "hit and hide".kwaiyo regard youself as a valuable person nami naamini hivyo ww ni wathamani kubreak na watu hata kama ni mia usijione ww si wathamani bali huko ni kuheshimu hisia japo sio nzuri sana inabidi sometimes ujadiliane na hisia zako uzibembeleze zisikuelewe maana hi ok nimekuelew n i do value myself! thx
 
Just be mine na utawasahau wote na hata ukitaka kuwasahau wazazi wako. We gusa hapa, u will never reglect.
 
hah hah haaaa! namim nipo ktk mahusiano mapya! tena wang wa sasa analifaham hilo na tunaish vizur tu! unajua nin ktk mapenz mkiambiana historia zenu hakuna tatizo lakin mkificha lazma kuachana! thx God tunaish vizur kuliko mnavotarajia na mwez wa 10 mwakahu tunafunga ndoa!

ina maana na huyo uliyefunga naye ndoa mwezi wa 10 2013 kakuacha?

maana nimeona unalalamika mode wameondoa bango lako la kutafuta mume!!!
 
Back
Top Bottom