Nifanye nini ili niweze kumsahau ex??

Nifanye nini ili niweze kumsahau ex??

Mahondaw

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
74,263
Reaction score
183,157
Naombeni ushauri juu ya kumsahau mpenzi wa zamani ambaye tulipendana sana. Huwa tunapigiana simu, kuchat kwa sms na mengine kibao tukikumbushia zamani kitu ambacho naona si kizuri kabisa ilhali yey anampz mwingne.

Nifanyeje ili niwweze kumsahau kabisa?
 
Dawa yake ndogo sana: kunywa mkuyati /muku kna viroba kadhaa kisha nenda kaMbake tena sana , baada ya hpo ukanyee ndoo miaka 30 pale karanga au segerea , hakika mpaka ukija kutoka utakuwa usha msahau maishani mwako milele dumu.
 
Hivi kweli mtu mmeachana kisha mnapigiana simu halafu unataka umsahau,utamsahau vipi na mmegandana kama luba ...KATA MAWASILIANO NAE...OBS:Huwezi kumsahau kabisa kwasababu atakuwepo kwenye kumbukumbu zako...
 
^^
Jipe moyo,,
Funga mawasiliano,,
Jibidishe ktk kazi,,
Kubali mapenzi ya uongo yana mwisho.
^^
 
Hivi kweli mtu mmeachana kisha mnapigiana simu halafu unataka umsahau,utamsahau vipi na mmegandana kama luba ...KATA MAWASILIANO NAE...OBS:Huwezi kumsahau kabisa kwasababu atakuwepo kwenye kumbukumbu zako...

yaah! apo pa kukata mawacliano umenena! ndio tunapigiana cm na kuchat kama kawaida as if ni marafik wakubwa kumbe ni mtu na ex wake! thx kwa ushaur naufanyia kaz sasa iv!
 
Wote mna wapenzi wengine.......
Kata mawasiliano,hata huyo mpenz wa sasa akijua mtaachana na pia utaongeza x wa pili wakumuwaza.

Kata mawasiliano na huyo jamaa.
 
naombeni ushauri juu ya kumsahau mpenz wa zamani ambaye tulipendana sana. huwa tunapigiana cm, kuchat kwa sms na mengine kibao tukikumbushia zamani kitu ambacho naona si kizuri kabisa ilhali yey anampz mwingne . Nifanyeje ili niwweze kumsahau kabisa????

Wa jinsia gani?
 
Jinyonge!

point of correction wajamen ebu niliweke vzur hili; sijasema kwamba nataka turudiane!! hapana, ninachosema ni jins ya kumsahau ili kunusuru mahusiano yake mapya mana yeye hawez na ameshindwa kutowacliana namim na hadi inaleta mifarakano kati yake na demu wake mpya! mpaka anajikuta demu wake akitoka tu ndio inakua nafuu kwake kunitafuta ili tuchat! sasa nataka mim niwe solution ktk hilo coz sipend kumfanyia dada wa watu kitu ambacho mim sipend kufanyiwa! thx
 
naombeni ushauri juu ya kumsahau mpenz wa zamani ambaye tulipendana sana. huwa tunapigiana cm, kuchat kwa sms na mengine kibao tukikumbushia zamani kitu ambacho naona si kizuri kabisa ilhali yey anampz mwingne . Nifanyeje ili niwweze kumsahau kabisa????

acha kuwasiliana nae
 
halafu itakusaidia nini? shame kwa kusema hivi

hiv wew unaelew kiswahil kwel???? nataka nimsaidie na mahusiano yake mapya mana wanagombana kwa ajili yang! kusolv tatizo inawezekana endapo walengwa wanalitambua tatizo! so mim nimelitambua natafuta jins ya kutatua! shame upon urself eboo!
 
Pole dada na mm nilikuwa na hil tatza,, ila nilichange line na hakunipt ten has sas cjui yup wp
 
mmmh!!! badilisha namba ya simu au kumbuka mabaya yake kipindi upo nae ili ujikute unamchukia.
 
Back
Top Bottom