Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,242
- 1,429
huwa nikiachana na mwanamke nafuta namba usiku wake
na kweli icho kidumu chake sa mtu umeachana nae mawacliano ya nn tena mi tukiachana ujue kila kitu ndo kimeishia apo hamna kukumbukana wala kukumbushiana that is my principalAu kanywe sumu tu! utoto mtupu...huyo ni ex ama kidumu!???
naombeni ushauri juu ya kumsahau mpenz wa zamani ambaye tulipendana sana. huwa tunapigiana cm, kuchat kwa sms na mengine kibao tukikumbushia zamani kitu ambacho naona si kizuri kabisa ilhali yey anampz mwingne . Nifanyeje ili niwweze kumsahau kabisa????
Napitaaa!!!
childish advice n it seems u r not matured enough! may God 4giv u! anyway thx 4 ur advc!
sina mkuki mieee............wewe haramuuuuuuuuu........Napitaaa!!!
na kweli icho kidumu chake sa mtu umeachana nae mawacliano ya nn tena mi tukiachana ujue kila kitu ndo kimeishia apo hamna kukumbukana wala kukumbushiana that is my principal
kunywa sumu tena kisa na mkasa!!?? mmeambiwa nataka turudiane???( CHILDISH SOLUTION) mim nataka nimsahau ili niweze kunusuru mahusiano yake aliyonayo sasa 7bu demu wake anlalamika sana! myself wang ni muelewa na yuko aware na hilo! so no problemee kwa upande wang!
naombeni ushauri juu ya kumsahau mpenz wa zamani ambaye tulipendana sana. huwa tunapigiana cm, kuchat kwa sms na mengine kibao tukikumbushia zamani kitu ambacho naona si kizuri kabisa ilhali yey anampz mwingne . Nifanyeje ili niwweze kumsahau kabisa????
Kama mtu mstarabu jitahidi kuonyesha unaheshimu mahusiano ya watu wengine hata kama wao wenyewe hawaonyeshi kuyaheshimu. Hivyo kama umedhamiria basi nakuomba kata mawasiliano, mwambie hutaki seriously na umwambie kama yeye hayajali basi wewe si mtu wa kuharibia watu mahusiano. Kama mgekuwa mnapendana mungekuwa pamoja mpaka sasa, no matter what circumstances.point of correction wajamen ebu niliweke vzur hili; sijasema kwamba nataka turudiane!! hapana, ninachosema ni jins ya kumsahau ili kunusuru mahusiano yake mapya mana yeye hawez na ameshindwa kutowacliana namim na hadi inaleta mifarakano kati yake na demu wake mpya! mpaka anajikuta demu wake akitoka tu ndio inakua nafuu kwake kunitafuta ili tuchat! sasa nataka mim niwe solution ktk hilo coz sipend kumfanyia dada wa watu kitu ambacho mim sipend kufanyiwa! thx