Nifanye nini ili niweze kumsahau ex??

Nifanye nini ili niweze kumsahau ex??

point of correction wajamen ebu niliweke vzur hili; sijasema kwamba nataka turudiane!! hapana, ninachosema ni jins ya kumsahau ili kunusuru mahusiano yake mapya mana yeye hawez na ameshindwa kutowacliana namim na hadi inaleta mifarakano kati yake na demu wake mpya! mpaka anajikuta demu wake akitoka tu ndio inakua nafuu kwake kunitafuta ili tuchat! sasa nataka mim niwe solution ktk hilo coz sipend kumfanyia dada wa watu kitu ambacho mim sipend kufanyiwa! thx

I was wrong! Plz forgive me!
 
Wote mna wapenzi wengine.......
Kata mawasiliano,hata huyo mpenz wa sasa akijua mtaachana na pia utaongeza x wa pili wakumuwaza.

Kata mawasiliano na huyo jamaa.

hah hah haaaa! namim nipo ktk mahusiano mapya! tena wang wa sasa analifaham hilo na tunaish vizur tu! unajua nin ktk mapenz mkiambiana historia zenu hakuna tatizo lakin mkificha lazma kuachana! thx God tunaish vizur kuliko mnavotarajia na mwez wa 10 mwakahu tunafunga ndoa!
 
naombeni ushauri juu ya kumsahau mpenz wa zamani ambaye tulipendana sana. Huwa tunapigiana cm, kuchat kwa sms na mengine kibao tukikumbushia zamani kitu ambacho naona si kizuri kabisa ilhali yey anampz mwingne . Nifanyeje ili niwweze kumsahau kabisa????

sasa ulimuacha wa nini kama bado unahisi mnapendana?
 
point of correction wajamen ebu niliweke vzur hili; sijasema kwamba nataka turudiane!! hapana, ninachosema ni jins ya kumsahau ili kunusuru mahusiano yake mapya mana yeye hawez na ameshindwa kutowacliana namim na hadi inaleta mifarakano kati yake na demu wake mpya! mpaka anajikuta demu wake akitoka tu ndio inakua nafuu kwake kunitafuta ili tuchat! sasa nataka mim niwe solution ktk hilo coz sipend kumfanyia dada wa watu kitu ambacho mim sipend kufanyiwa! thx
Kama yeye ameshindwa wewe si umchunie tu,silioni tatizo hapo kama kweli wewe una nia ya kukata mawasiliano nae
 
Nop! I was wrong!

kunywa sumu tena kisa na mkasa!!?? mmeambiwa nataka turudiane???( CHILDISH SOLUTION) mim nataka nimsahau ili niweze kunusuru mahusiano yake aliyonayo sasa 7bu demu wake anlalamika sana! myself wang ni muelewa na yuko aware na hilo! so no problemee kwa upande wang!
 
Punguza na ikiwezekana acha kuwasiliana nae pia tafuta wa kwako mwenzio si ana wake
 
hi!
kwanza pole kwa jambo hilo bt suruhisho ni dogo sana try kujikip bize na mambo mengine try kutofanya yale mliyokuwa mnafanya. jaribu kuwa unakuwa bize kwa kusoma vitabu na usipende kuwa alone ncy time
:bored:
 
sasa ulimuacha wa nini kama bado unahisi mnapendana?

mbona luga gongana wananchi!! mim nimesema va kumuacha au kuniacha apa??? halafu tatizo mmezoea mkiachana na wapenz wenu mnajenga mabif yasiyo na mbele wala nyuma!! ndio mana mnanishangaa! acha u-shushushu mi sijasema kama nilimuacha mim au aliniacha yeye! nilichosema ni jins ya kumsahau! thats all!
 
Back
Top Bottom