Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 5,090
- 9,429
Hahahha kwahyo kila mtu angesomea udaktariMungu angefunua mapema ukawa umesome udactari bingwa wa Magonjwa ya uzazi ya akina mama leo ungekuwa Bilionea
Hahahha kwahyo kila mtu angesomea udaktariMungu angefunua mapema ukawa umesome udactari bingwa wa Magonjwa ya uzazi ya akina mama leo ungekuwa Bilionea
Ondoa haya mawazo, kwani hawezi kuanzisha hospitali yake na kuwaajiri hao madaktari?? Msiwaze sana kuajiriwaMungu angefunua mapema ukawa umesome udactari bingwa wa Magonjwa ya uzazi ya akina mama leo ungekuwa Bilionea
Haiwez tokaInabidi alifanyie hili kazi, kama kajisajili Ajira portal akatoe hiyo qualification ya BBA na aweke ya udereva pekee.
Unazijua kanuni zilizopo juu ya kufungua hospitali Tanzania?Ondoa haya mawazo, kwani hawezi kuanzisha hospitali yake na kuwaajiri hao madaktari?? Msiwaze sana kuajiriwa
portal.ajira.go.tz