ulaya12
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 834
- 909
Naombeni mnisaidie mbinu kama zile alizotumia Dr Shika ili na mimi nipate kiki ambayo itanisaidia kupata kipato hatimaye maisha yasiwe magumu kama hivi sasa yanavyonipeleka mchaka mchaka. nayasema haya kwa dhati kabisa kwani msema kweli ni mpenzi wa mungu na atakayeleta utani katika ombi langu hili nitalala naye mbele