Wrong Mr
Member
- Jul 22, 2017
- 91
- 78
Nimehitimu kidato cha sita mwaka huu ila matokeo yametoka vibaya, nini three ya 14. Nimeshindwa nifanye nini maana naona kila niwazacho hakiko sahihi.Nimefikiria kurudia mtihani mwakani lakini naona siko sahihi,nimefikiria kwenda diploma ila nimeshindwa kuelewa kama form six leaver anatumia matokeo yapi pia nimefikiria ku-apply vyuo visivyo na ushindani mkubwa lakini nahisi nitapoteza pesa nyingi kama sitochaguliwa(Nina D E E).Naombeni msaada wenu wanajamvi.
Ahsanteni.
Ahsanteni.