Nifanye kipi kwa matokeo haya?

Nifanye kipi kwa matokeo haya?

Wrong Mr

Member
Joined
Jul 22, 2017
Posts
91
Reaction score
78
Nimehitimu kidato cha sita mwaka huu ila matokeo yametoka vibaya, nini three ya 14. Nimeshindwa nifanye nini maana naona kila niwazacho hakiko sahihi.Nimefikiria kurudia mtihani mwakani lakini naona siko sahihi,nimefikiria kwenda diploma ila nimeshindwa kuelewa kama form six leaver anatumia matokeo yapi pia nimefikiria ku-apply vyuo visivyo na ushindani mkubwa lakini nahisi nitapoteza pesa nyingi kama sitochaguliwa(Nina D E E).Naombeni msaada wenu wanajamvi.
Ahsanteni.
 
Nimehitimu kidato cha sita mwaka huu ila matokeo yametoka vibaya, nini three ya 14. Nimeshindwa nifanye nini maana naona kila niwazacho hakiko sahihi.Nimefikiria kurudia mtihani mwakani lakini naona siko sahihi,nimefikiria kwenda diploma ila nimeshindwa kuelewa kama form six leaver anatumia matokeo yapi pia nimefikiria ku-apply vyuo visivyo na ushindani mkubwa lakini nahisi nitapoteza pesa nyingi kama sitochaguliwa(Nina D E E).Naombeni msaada wenu wanajamvi.
Ahsanteni.
Pole sana mkuu. Kwa matokeo yako hujakidhi vigezo vya kujiunga na degree ila diploma umekidhi. So bora uanze tu diploma kama nafasi ya kifedha na ndoto ya kuunganisha masomo ipo. Kila lakheri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu. Kwa matokeo yako hujakidhi vigezo vya kujiunga na degree ila diploma umekidhi. So bora uanze tu diploma kama nafasi ya kifedha na ndoto ya kuunganisha masomo ipo. Kila lakheri

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu..na vp kama nikijaribu ku-apply kweny vyuo visivyo na ushindani mkubwa?
 
Nakusahuri uachane na matokeo ya Advance kama o level ulisoma masomo yote namaanisha tisa.

Tumia cheti cha form four kuomba diploma za Afya, pharmacy n. K. hautojuta, ila kama ni nyie ambao toka o level unajiita mwana art, imekula dogo
 
Nakusahuri uachane na matokeo ya Advance kama o level ulisoma masomo yote namaanisha tisa.

Tumia cheti cha form four kuomba diploma za Afya, pharmacy n. K. hautojuta, ila kama ni nyie ambao toka o level unajiita mwana art, imekula dogo
O'level nilisoma masomo yote tisa mkuu na ufaulu ni mzur tu...ila je, naweza kuomba chuo kikuu?
 
O'level nilisoma masomo yote tisa mkuu na ufaulu ni mzur tu...ila je, naweza kuomba chuo kikuu?
Usiate shida mkuu.. Tumia matokeo yako ya O'level omba diploma za science chuo unapata vizuri sana.. Tena kama una matokeo mazuri uko nyuma hata usiwaze sana.. Huu ndo uamuzi ambao hutajutia maisha yote.. Achana na Arts hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimehitimu kidato cha sita mwaka huu ila matokeo yametoka vibaya, nini three ya 14. Nimeshindwa nifanye nini maana naona kila niwazacho hakiko sahihi.Nimefikiria kurudia mtihani mwakani lakini naona siko sahihi,nimefikiria kwenda diploma ila nimeshindwa kuelewa kama form six leaver anatumia matokeo yapi pia nimefikiria ku-apply vyuo visivyo na ushindani mkubwa lakini nahisi nitapoteza pesa nyingi kama sitochaguliwa(Nina D E E).Naombeni msaada wenu wanajamvi.
Ahsanteni.
Omba ukuu wa mkoa utapata tu mbona uko vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
4fcb5ee10a00a1b69f732be997913569.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
O'level nilisoma masomo yote tisa mkuu na ufaulu ni mzur tu...ila je, naweza kuomba chuo kikuu?
Achana na habari za Chuo kikuu, omba course za Afya diploma kwa matokeo ya o level. Chuo chochote utapata hata hiyo mnayoipenda (udsm)
 
Hapo kwenye A+E,B+E na C+E umedanganya hapo principle ni mojamoja tu E siyo principle wakati huu labda kama unamaanisha miaka ya 2014 kurudi nyuma,sasa hivi principle ni D mbili na kupanda!! Yaani MTU mwenye F+D+D ana kigezo chuo kikuu kuliko mwenye A+E+E!!

Sent using Jamii Forums mobile app
soma vizuri
miongozo ya TCU
PRINCIPLE ni kuanzia
A hadi E
lakini ili uweze kisoma degree lazima total principle ziwe 4.0 kwa kozi za kawaida (minimum)
mfano
A+E=6
B+E=5
C+E=4

LAKINI IKIWA
D+E=3
E+E=2 HUTOWEZA KUSOMA DEGREE KWA DIRECT ENTRY
LAZIMA UWE NA DIPLOMA ISIPUNGU GPA YA 3.0 AU B

Sent using Jamii Forums mobile app
 
soma vizuri
miongozo ya TCU
PRINCIPLE ni kuanzia
A hadi E
lakini ili uweze kisoma degree lazima total principle ziwe 4.0 kwa kozi za kawaida (minimum)
mfano
A+E=6
B+E=5
C+E=4

LAKINI IKIWA
D+E=3
E+E=2 HUTOWEZA KUSOMA DEGREE KWA DIRECT ENTRY
LAZIMA UWE NA DIPLOMA ISIPUNGU GPA YA 3.0 AU B

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndg yangu E siyo principle waulize hata walioaply mwaka!! Jitahidini kufuatilia wala sio suala la kunyumbulisha matokeo ili upate cutoff point 4 kama unabisha subiri utapewa mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom