X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,714
- 14,842
Lazima uaibike. Hata sisi wenzako kipindi tunaanza tuliaibika Kisha tukawa mamaster... Kuaibika hakukwepeki kwenye jambo lolote geniiHabari kaka zangu mimi mdogo wenu kwa kipindi kirefu nimekuwa Single na pia nimekuwa kwenye uhusiano na mtu kwa kipindi kirefu ila sijawahi kufanya tendo nae hata mara moja
Kiufupi sijawahi kufanya tendo kabisa sasa hivi karibuni narajia kufanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mpenz wangu Tangu nizaliwe naombeni mbinu nifanyeje ili nisiaibike? Pia nizingatie vitu gani kabla na baada ya tendo?
Miaka tangu 25
Habari kaka zangu mimi mdogo wenu kwa kipindi kirefu nimekuwa Single na pia nimekuwa kwenye uhusiano na mtu kwa kipindi kirefu ila sijawahi kufanya tendo nae hata mara moja
Kiufupi sijawahi kufanya tendo kabisa sasa hivi karibuni narajia kufanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mpenz wangu Tangu nizaliwe naombeni mbinu nifanyeje ili nisiaibike? Pia nizingatie vitu gani kabla na baada ya tendo?
Miaka tangu 25
Eh nsameheWa kiume mm
Dah ukizingatia nishajisifia sana najua kwa demu doh hapo ndipo napowaza je akiniona ni mgeni atanichukuliaje?Lazima uaibike. Hata sisi wenzako kipindi tunaanza tuliaibika Kisha tukawa mamaster... Kuaibika hakukwepeki kwenye jambo lolote genii
Ni kweli wewe ni wa kiume siyo mwanaume. Ingiza tu kidole cha mguu utaongewa. Ukishindwa hilo,mbinu ya pili: muvue chupi,kagua kwanza mzigo wake ulivyoumbwa,chekelea, mwambie avae chupi yake umsindikize. Utaenjoy na hutosahauWa kiume mm
Nyie mliokuwa mnasema hamna mwanamme anaweza kutulia na mwanamke mmoja haya mmeona Sasa,huyo hapoooo mwenzenu bikraaa.Hongera kwa kujitunza mwaya.Habari kaka zangu mimi mdogo wenu kwa kipindi kirefu nimekuwa Single na pia nimekuwa kwenye uhusiano na mtu kwa kipindi kirefu ila sijawahi kufanya tendo nae hata mara moja
Kiufupi sijawahi kufanya tendo kabisa sasa hivi karibuni narajia kufanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mpenz wangu Tangu nizaliwe naombeni mbinu nifanyeje ili nisiaibike? Pia nizingatie vitu gani kabla na baada ya tendo?
Miaka tangu 25
Duh! Watu wengine mna roho mbayaUkiona kitovu ndio apo apo we weka ad ukojoe
Nyie mliokuwa mnasema hamna mwanamme anaweza kutulia na mwanamke mmoja haya mmeona Sasa,huyo hapoooo mwenzenu bikraaa.Hongera kwa kujitunza mwaya.