NIFANYAJE NISIAIBIKE?

Mzee miaka 25 hujawahi gusa mali?
Ulikuwa jela?
 
Huyu ni mhuni mmoja mzuri tu soma vizuri andiko lake alafu tumia akili ya ziada
 
Hiyo formula unayoambiwa ya kumwaga kwanza kabla ya kwenda kwenye show ndio mbaya sana sijui nani kawadanganya ?

Utaenda kuaibika ndugu.. raha ya kufanya mapenzi ni upige bao zito.. moja ya assessment ya hawa wanawake ni kuangalia uzito na ubora wa bao. Ukienda kutoa maji maji (Maana Bao la kwanza ushalitoa) unaenda kuaibika.

Mbili, hamu unaipunguza.. unaweza hata usidinde au hata usiwe na power ya kuforce game kama manzi analeta zile pigo za STAKI-NATAKA.

Tatu, utauchosha mwili mapema bila sababu unajua lile bao ukilitoa unauweka mwili ktk hibernation...

Piga miti unganisha mabao, shuka kwenye bao la 3 au ukishindwa la 2.
 
piga nje kimoja, ili ukiingia dimbani iwe 1-0
utachelewa sana kumwaga
Nyeto sitaki tena
Ahsante sana kwa ushauri mzuri kaka ubarikiwe
 
Mi nina mshkaji wangu mmoja huwa anakula nyeto moja kabla ya game na anasema inamsaidia sana.

Tumetofuatiana🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…