wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,404
- Thread starter
- #41
sasa maswali mengine hayana kichwa wala mguu. wewe ulijiunga vp hadi uulize jf ujitoe vp? huna HR hapo unapofanyia kazi? wakati unajaza fomu na kusubmit picha ulimpa nani? kamuulize huyohuyo utoke vp.
kumbe na ww unaweza ukasukummwa kama ng'ombe na ukaenda .....
jari huduma unayopata na unavyogharamia, pia na uhuru wa kuchagua sio kuwa mwanachama kwa SHURTI ktk Mfuko huo.