Nifanyaje binti huyu asije kunipiga tukio?

Nifanyaje binti huyu asije kunipiga tukio?

The ice breaker

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2023
Posts
1,119
Reaction score
2,436
Bonjour,

Nyie wazoefu wa kudate na hivi vitoto vya miaka 20s nipeni experience basi. Maana kuna kitoto kimoja cha Kisukuma nimekielewa kinoma, yaani huniambii kitu, dah!

Naogopa asije akanipiga tukio halafu mjuba hapa ndio nimeshakolea, na mpaka sasa kashakula pesa zangu kadhaa. Nipeni mbinu anione mimi ndio kila kitu, asichomoke, maana hivi vitoto akili zao hazijatulia, kutokana na ukosefu wa experience za maisha, naogopa vile visharobaro vya IFM vivaa supra visije vikanichukulia.

Yaani kama atatulia nina plan ya kumuweka ndani, maana nataka nitulie nacho, kama nyuchi nimepiga nyingi sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui kwanini nimecheka
Hayana formula, wee mpende mpe thamani yake hayo mengine ni ya ziada.
Kama ana mpango wa kutulia atatulia kama ni ndege atapepea tuu hata iwaje.
Kila la kheri.
 
U
Bonjour,

Nyie wazoefu wa kudate na hivi vitoto vya miaka 20s nipeni experience basi. Maana kuna kitoto kimoja cha Kisukuma nimekielewa kinoma, yaani huniambii kitu, dah!

Naogopa asije akanipiga tukio halafu mjuba hapa ndio nimeshakolea, na mpaka sasa kashakula pesa zangu kadhaa. Nipeni mbinu anione mimi ndio kila kitu, asichomoke, maana hivi vitoto akili zao hazijatulia, kutokana na ukosefu wa experience za maisha, naogopa vile visharobaro vya IFM vivaa supra visije vikanichukulia.

Yaani kama atatulia nina plan ya kumuweka ndani, maana nataka nitulie nacho, kama nyuchi nimepiga nyingi sana.
Usituite vitoto😂 hapo bet cz sisi damu bado inachemka.
 
Halooooooo.
Acha nikushauri kabla KATAA NDOA hawajatia timu.
Awali ya yote jiweke sawa kisaikolojia kwamba kupigwa kwa dunia ya sasa ni jambo la kawaida kwani ni suala la muda tu.
Usiwekeze nguvu zako nyingi katika kumfanya asikupige tukio bali wewe concetrate na anachokupatia.
Yaani ndo kwanza umempenda ushawaza kumuoa.
Alooooooo.
Tuliza munkari mapenzi hayataki pupa nenda nae taratibu.
Kama unapewa utelezi fresh basi we endelea kula maisha.
 
Kubaliana na hii formula Kwanza "kupata na kukosa yote sawa."

Alafu keep it real, usije ukafikia hatua ya kutoka nje ya uwezo wako Kwa sababu ya mtu ambae
hajakufanya hata Uitwe Baba!
na hujua kiundani anakuchukuliaje .

Wanawake Wazuri wako wengi Just keep it real mtu sahihi kwenye maisha yako atakuja wakati sahihi ukifika.

Ukitumia hiyo formula hutaumizwa na hawa viumbe au maisha kiasi cha kujutia.
 
Tatizo hawa viumbe hawatabiriki. Unaweza jikakamua ukamnunulia gari la Mil. 20 akaja kukazwa na njemba atakaemuwekea mafuta ya elfu 10 tu.

Ishi maisha yako kwa kufuata mkondo wa mambo. Akija na ma lavi davi na wewe unaenda hivyo hivyo, siku akija na mambo usinipigie simu kuanzia saa 3 usiku basi anza kujiandaa na kuwekeza hisia zako sehemu nyingine.

Wanawake wao wenyewe hawajui wanataka nini ndio unadhani utajua wewe wanachotaka wao.

Ogopa kiumbe anaenyoa nyusi zote halafu anazichora upya na wanja.
 
Bonjour,

Nyie wazoefu wa kudate na hivi vitoto vya miaka 20s nipeni experience basi. Maana kuna kitoto kimoja cha Kisukuma nimekielewa kinoma, yaani huniambii kitu, dah!

Naogopa asije akanipiga tukio halafu mjuba hapa ndio nimeshakolea, na mpaka sasa kashakula pesa zangu kadhaa. Nipeni mbinu anione mimi ndio kila kitu, asichomoke, maana hivi vitoto akili zao hazijatulia, kutokana na ukosefu wa experience za maisha, naogopa vile visharobaro vya IFM vivaa supra visije vikanichukulia.

Yaani kama atatulia nina plan ya kumuweka ndani, maana nataka nitulie nacho, kama nyuchi nimepiga nyingi sana.
Mizinga yao midogo ila ni endelevu
Jumbe zao kwenye S vinaweka X
Vinapenda mno mchat vitu vya kijinga
Vina uongo wa kitoto
Hsvijui mapenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishamaliza kumpa figo na moyo wako, utuonyeshe kabisa tukuzike wapi..

Sis waungwana tunajua kabisa wanawake hawana shukrani hivyo tunakula mbususu saizi yetu alafu tunapita hivi.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo hawa viumbe hawatabiriki. Unaweza jikakamua ukamnunulia gari la Mil. 20 akaja kukazwa na njemba atakaemuwekea mafuta ya elfu 10 tu.

Ishi maisha yako kwa kufuata mkondo wa mambo. Akija na ma lavi davi na wewe unaenda hivyo hivyo, siku akija na mambo usinipigie simu kuanzia saa 3 usiku basi anza kujiandaa na kuwekeza hisia zako sehemu nyingine.

Wanawake wao wenyewe hawajui wanataka nini ndio unadhani utajua wewe wanachotaka wao.

Ogopa kiumbe anaenyoa nyusi zote halafu anazichora upya na wanja.
Mzee umemaliza well spoken

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom