Nifanyaje binti huyu asije kunipiga tukio?

Nifanyaje binti huyu asije kunipiga tukio?

Hivyo visichana hata ukahonge gari Wala hakawezi kutulia, wewe kula mzigo na upite hivi tofauti na hapo utapigwa matukio sana mpaka ushangae
Ngoja Nile mbususu kama mara kadhaa hivi , alafu nampotezea kumpima, kama yupo serious au vipi
 
Halooooooo.
Acha nikushauri kabla KATAA NDOA hawajatia timu.
Awali ya yote jiweke sawa kisaikolojia kwamba kupigwa kwa dunia ya sasa ni jambo la kawaida kwani ni suala la muda tu.
Usiwekeze nguvu zako nyingi katika kumfanya asikupige tukio bali wewe concetrate na anachokupatia.
Yaani ndo kwanza umempenda ushawaza kumuoa.
Alooooooo.
Tuliza munkari mapenzi hayataki pupa nenda nae taratibu.
Kama unapewa utelezi fresh basi we endelea kula maisha.
Nahitaji kutulia na Dem mmoja..

So namuona kama anafaa, japokuwa sijui yeye ana mawazo gani juu yangu
 
Bonjour,

Nyie wazoefu wa kudate na hivi vitoto vya miaka 20s nipeni experience basi. Maana kuna kitoto kimoja cha Kisukuma nimekielewa kinoma, yaani huniambii kitu, dah!

Naogopa asije akanipiga tukio halafu mjuba hapa ndio nimeshakolea, na mpaka sasa kashakula pesa zangu kadhaa. Nipeni mbinu anione mimi ndio kila kitu, asichomoke, maana hivi vitoto akili zao hazijatulia, kutokana na ukosefu wa experience za maisha, naogopa vile visharobaro vya IFM vivaa supra visije vikanichukulia.

Yaani kama atatulia nina plan ya kumuweka ndani, maana nataka nitulie nacho, kama nyuchi nimepiga nyingi sana.
Piga mimba mfatano nne.. kazima atulie akileta shida unatoa ingine
 
Hiyo hofu ya kupigwa tukio itakuharibia.. kuwa ila usimuamini asilimia 100.
Akiwa na mienendo inayoridhisha weka ndani.
 
Jiandae kwa COUNTER ATTACK maana huto tutoto hatunaga msimamo...anyway kila la kheri
 
Bonjour,

Nyie wazoefu wa kudate na hivi vitoto vya miaka 20s nipeni experience basi. Maana kuna kitoto kimoja cha Kisukuma nimekielewa kinoma, yaani huniambii kitu, dah!

Naogopa asije akanipiga tukio halafu mjuba hapa ndio nimeshakolea, na mpaka sasa kashakula pesa zangu kadhaa. Nipeni mbinu anione mimi ndio kila kitu, asichomoke, maana hivi vitoto akili zao hazijatulia, kutokana na ukosefu wa experience za maisha, naogopa vile visharobaro vya IFM vivaa supra visije vikanichukulia.

Yaani kama atatulia nina plan ya kumuweka ndani, maana nataka nitulie nacho, kama nyuchi nimepiga nyingi sana.
Au ndo huyu nilienae anasema kapata mtu mpya wa kumtunza me kaniruhusu nipge bure 😀😀😀 JOKES
Haya mambo bhn hayana formula we fanya akikubariki barikiwa maana umesema ashakula visent kadhaa hvi vitoto vya chuo ni hamna kama hajaamua kutulia utafanya yote na ataenda fanya tu play part yako na kwa muda wako mkuu
GOOD LUCK [emoji4]
 
Bonjour,

Nyie wazoefu wa kudate na hivi vitoto vya miaka 20s nipeni experience basi. Maana kuna kitoto kimoja cha Kisukuma nimekielewa kinoma, yaani huniambii kitu, dah!

Naogopa asije akanipiga tukio halafu mjuba hapa ndio nimeshakolea, na mpaka sasa kashakula pesa zangu kadhaa. Nipeni mbinu anione mimi ndio kila kitu, asichomoke, maana hivi vitoto akili zao hazijatulia, kutokana na ukosefu wa experience za maisha, naogopa vile visharobaro vya IFM vivaa supra visije vikanichukulia.

Yaani kama atatulia nina plan ya kumuweka ndani, maana nataka nitulie nacho, kama nyuchi nimepiga nyingi sana.
Jiamini.
Uwe na kipato cha uhakika.
Usionyeshe kumpenda sana.

Panga appointment naye, sehemu ya appointment chagua wewe, na muambie mkutane sehemu Fulani. Hapo ndo umfungukie.
 
Back
Top Bottom