Nilikuwa nikiangalia harakati za kujinadi kwa mgombea wa Urais wa zanzibar kwa kupitia CCM na nilishituka na kauli iliyosema kuwa serikali za CCM,ile itakayokuwa chini yake Zanzibar na ile itakayokuwa chini ya Rais Kikwete na DR Bilali kule Bara.
Mawanzo yalianza kunichanganya na kujiuliza iwapo ipo Serikali ya Bara na jee kama Makamo wa Rais Dr Shein hakuwa akitumikia Muungano bali upande mmoja wa Muungano. Wasiwasi wango pengine akireflect ukweli wa Mambo.
Mawanzo yalianza kunichanganya na kujiuliza iwapo ipo Serikali ya Bara na jee kama Makamo wa Rais Dr Shein hakuwa akitumikia Muungano bali upande mmoja wa Muungano. Wasiwasi wango pengine akireflect ukweli wa Mambo.