ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,159
Nimesikia umesema tuhuma?zezeta embu rudia kusoma ujinga wako hlf ufute hrkTuhuma kuwa Rais Magufuli analindwa na kikosi toka Rwanda ni aibu kwetu ...lazima msemaji wa serikali atoke hadharani...juu ya hili.
Vyombo vya ulinzi haviwezi kubali hii aibu ....Rais na amiri jeshi...mkuu kulindwa na wageni ?????? Tumekosa watu ?
Kingine kwanini rais hajiamini namna hii mbele ya jeshi anaogopa nini ...au kwakuwa sio raia ....alikuwa anaita askari Ikulu kuwapa nyota ...baada ya majenerali kumwambia sio utaratibu aende chuoni kwao ..bado anaogopa kawaita uwanja wa...mpira shame ..shame ..shame .....
Hakuna rais duniani ambaye ameshindwa kufika vyuo vya kijeshi kutimiza majukumu yake kama amiri jeshi mkuuu,Hiii ni aibuuu
Aibu
Aibu