tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,317
Kiukweli Jeshi letu JWTZ ni moja ya Majeshi yenye nidhamu ya hali juu sana Katika Medeni za kijeshi.
Hii imekuwa ikitolewa kama mfano ktk mezani za kimataifa hasa JWTZ wanaposhiriki mission tofauti chini ya Umoja wa Mataifa kama Majeshi ya kilinda AMANI Yale maeneo yenye migogoro ya kivita wenyewe kwa wenyewe.
Ni nadra sana kusikia JWTZ wamefanya matukio yasiyo ya kinidhamu kijeshi ktk hizo mission ukilinganisha na Majeshi kutoka nchi nyingine.
Hongera sana makamanda kwa mafunzo kwa vijana wetu wa Jeshi la Ulinzi kwa kazi nzuri mnayoifanya.
Tanzania na watanzania wako na nyingi kwa hali na Mali kuhakikisha nchi inabaki kuwa salama toka adui yoyote yule.
Hii imekuwa ikitolewa kama mfano ktk mezani za kimataifa hasa JWTZ wanaposhiriki mission tofauti chini ya Umoja wa Mataifa kama Majeshi ya kilinda AMANI Yale maeneo yenye migogoro ya kivita wenyewe kwa wenyewe.
Ni nadra sana kusikia JWTZ wamefanya matukio yasiyo ya kinidhamu kijeshi ktk hizo mission ukilinganisha na Majeshi kutoka nchi nyingine.
Hongera sana makamanda kwa mafunzo kwa vijana wetu wa Jeshi la Ulinzi kwa kazi nzuri mnayoifanya.
Tanzania na watanzania wako na nyingi kwa hali na Mali kuhakikisha nchi inabaki kuwa salama toka adui yoyote yule.