MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 19,313
- 40,020
Atajua hajui. Safari ya Kigoma ni kama unaenda nchi jirani. Ukaguzi ni mkali mno.Alafu hana kitambulisho cha NIDA anaishi Kigoma na kusema Nne bajui anasema ine, kusema mtu hajui anasema Mutu , na Immigration wanafanya doria muda wote