NIDA wameanza kufunga namba

NIDA wameanza kufunga namba

Sasa itakulazimu uanze zoezi upya, kitu ambacho kitakugharimu. Ulitakiwa ukaifuate huko Temeke.
Vitambulisho vyote vya NIDA vilipelekwa kwenye mtaa mtu aliandika anaishi alipojaza fomu za NIDA

Mobox na Mabox yalipelekwa mtu alipodai kuwa anaishi

Wengine walidanganya walipopeleka fomu NIDA wakidhani ujanja

NIDA wakaamua kupeleka vitambulisho mtu alikosema ndiko mtaa atokea ili achukulie huko.

Halafu wakazi wanaambiwa na wajumbe wa nyumba kumi na wa serikali ya mtaa kuwa njooni mchukue Vitambulisho wakazi.Sasa asiye mkazi hiyo taarifa ilimpita kushoto na ujanja wake
 
Vitambulisho vyote vya NIDA vilipelekwa kwenye mtaa mtu aliandika anaishi alipojaza fomu za NIDA

Mobox na Mabox yalipelekwa mtu alipodai kuwa anaishi

Wengine walidanganya walipopeleka fomu NIDA wakidhani ujanja

NIDA wakaamua kupeleka vitambulisho mtu alikosema ndiko mtaa atokea ili achukulie huko.

Halafu wakazi wanaambiwa na wajumbe wa nyumba kumi na wa serikali ya mtaa kuwa njooni mchukue Vitambulisho wakazi.Sasa asiye mkazi hiyo taarifa ilimpita kushoto na ujanja wake
Kwanza makadi yenyewe yamechakaa kishenzi jina limefutika nusu.😎
 
Kwahiyo baada ya miaka 13, ndo uone kuwa ni lazima uwe na kipande?

Na mnaona no busara kuteketeza hivyo vipande na namba kabisa?

Mwaka fulani, mlitumia pesa za umma kutengeneza mitaa, address na postcode, mlipokuwa mnaenda kutafuta watu wa kupiga kura SM, mligonga nyumba kwa nyumba, nini mnashidwa kupeleka hivyo vipande kwa wale WAJUMBE wavisambaze?
Mkuu mi mwenyewe mdogo angu ni mhanga wa hili
Nilipoenda ofisini nikaambiwa kuwa kitambulishi chake hakipo, nikauliza Kwa nn, nikaambiwa mpk awe ametumiwa msj .
SS najiuliza hiki ni nn?
Sio kwamba nipo upande wao
 
Sasa itakulazimu uanze zoezi upya, kitu ambacho kitakugharimu. Ulitakiwa ukaifuate huko Temeke.
Wew unaona ni sahih kufuta taarifa za mtu kisa hajafuata kitambulisho chake? Serikali yetu haijui bargaining kbs , kwann wasingeweka penlty ya malipo kwa kadri muda ukisonga mbele

Serikali zetu hazijui kuyageuza makosa kuwa fursa kwa umma
 
Back
Top Bottom