kizito2009
Senior Member
- Jan 6, 2010
- 172
- 223
Mimi binafsi nincho kitambulisho cha TAIFA ila baada ya kufikiri nimeona kwamba kwa sababu tayari tunao uwezo kuomba Passport online kwa nini mifumo ya NIDA isibadilishwe kumwezesha mtu kuomba kwa njia ya online na kisha taratibu za uthibitisho na kukusanya kitambulisho ndo ziwe manual.Hii itawezesha mtu kupata namba ya kitambulisho iwapo amekidhi vigezo.Ukusanyaji wa nyaraka nyingine unaweza kufanyika kwa utaratibu uliopo ila yale mambo ya kawaida yafanyika online.
Hii itawezesha kupunguza ucheleweshaji unaotokana na kupotea kwa fomu
Hii itawezesha kupunguza ucheleweshaji unaotokana na kupotea kwa fomu