Angalia ALJAZERA utawaonea huruma. Lakini wameonewa maana hawajatenda kosa lolote against USA ila Maduro aliua, ameua watu wengi. Kwa hilo ngoja naye afedheheshwe!
Na yule wa Columbia anaweza akawa anaongozana na mtoto wake siku moja
---
Rais wa Venezuela aliyeondolewa madarakani, Nicolás Maduro, alisafirishwa hadi katika mahakama ya New York kwa kutumia gari lenye ulinzi mkali na helikopta. Maduro atasimama kwa mara ya kwanza mahakamani, ambapo anakabiliwa na mashtaka ya dawa za kulevya na silaha.
Na yule wa Columbia anaweza akawa anaongozana na mtoto wake siku moja
---
Rais wa Venezuela aliyeondolewa madarakani, Nicolás Maduro, alisafirishwa hadi katika mahakama ya New York kwa kutumia gari lenye ulinzi mkali na helikopta. Maduro atasimama kwa mara ya kwanza mahakamani, ambapo anakabiliwa na mashtaka ya dawa za kulevya na silaha.