hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 852
- 2,037
Msanii au rapper maarufu duniani Kwa jina la Nick minaji amegoma yeye na familia yake kupatiwa chanjo ya Korona.
Source: Twitter.
Source: Twitter.
wewe ni mpumbavu kweli ...unataka kusema wewe unauelewa zaidi kuliko mtu ambaye yupo jikoni anayejua mambo chungu nzima ya nchi yake?!!!...kama umechanjwa wewe subiri mavuno yako after 7 years ...unamkasirikia mtu ambaye hataki kuamuliwa hatma ya maisha yakeAnaogopa chanjo lakini haopgopi ma-PLASTIC SURGERY.
Siasa za kipumbavu na kutafuta kiki na attention.
Mwamba huyu si kaamua yeye au unataka ulichofanya wewe akuige kisa umedungwa sindano!.Anaogopa chanjo lakini haopgopi ma-PLASTIC SURGERY.
Siasa za kipumbavu na kutafuta kiki na attention.