Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,146
- 7,376
Wadau, habari za jioni?
Naombeni ushauri wenu katika hii ishu kuna binamu yangu mtoto wa shangazi yangu anataka kunifanyia uhuni kwa Girlfriend wangu.
Nina Mpenzi wangu ambaye tumeanza kuwa na mahusiano kama miezi minne sasa baada ya kuwa marafiki wa muda mrefu, nilijuana na huyu binti tangu akiwa kidato cha pili mpaka amemaliza kidato cha sita mwaka tulikuwa tukiwaasilana na kutembeleana kila alipopata likizo mpaka sasa tumejikuta tupo katika uhusiano.
Nimeandika thread hii kuomba ushauri wenu kabla ya kutaka kuchukua maamuzi yangu binafsi, kifupi, nina binamu yangu ambaye huwa namchukulia kama kaka na rafiki yangu wa damu lakini kwa kitendo alichofanya jana amenichefua na nimemuona hafai..
Kwa kuwa namchukulia kama rafiki sikuweza kumficha kuhusu Girlfriend nikampa mpaka namba za simu na kuna siku tulienda pamoja mpaka kwa Girlfriend wangu na akaonana nae, kwa hiyo tangu siku hiyo wamekuwa wakiwasiliana kila mara na huwa wanataniana sana, GF wangu ni Mcheshi na ni muongeaji na anamchangamkia kila mtu hata binamu yangu na yeye ni muongeaji na anapenda sana utani...
Jana usiku kampigia GF wangu simu akawa anamwambia ni lini atakuja Dar? Anataka kuonana nae lakini asiniambie mimi na akija atachukua hotel wataspend the whole night pamoja.
GF wangu alichomjibu akamwambia hawezi kuja dar bila mimi kupata taarifa.. na akazidi kumwambia kwa sasa uwezekano wa kuja Dar ni mdogo kwani tarehe 3 October anaenda Chuo Iringa Tumaini. Kwa hiyo hawezi kuja na kama akija basi atakuja kwa sababu maalum.
( GF WANGU KWA SASA YUKO KWA BIBI NA BABU YAKE MOSHI)
MAZUNGUMUZO HAYA GF WANGU ALIKUWA ANAYAREKODI NA AMENITUMIA SOUND CLIP KWENYE EMAIL.
Alilazimika kurekodi na kunitumia baada ya kuona jamaa anaanza kuongea ishu ambazo sizo, na GF wangu hajapendezwa na hili jambo kabisa.
Inshort Binamu yangu ana motto wa kiume ana miezi alizaa na msichana wakati wakiwa chuo huku Malaysia.
Kwa kweli alichokuwa anakiongea huyu jamaa kimenisikitisha na kimenifanya nimuone mshenzi wa tabia na ambaye hafai katika jamii sasa nifanyaje??/
Nilichokuwa nimepanga:-
Please advice wakuu:
Note: my cousin- 27 years. Me 24(kesho) and my GF is 21
Naombeni ushauri wenu katika hii ishu kuna binamu yangu mtoto wa shangazi yangu anataka kunifanyia uhuni kwa Girlfriend wangu.
Nina Mpenzi wangu ambaye tumeanza kuwa na mahusiano kama miezi minne sasa baada ya kuwa marafiki wa muda mrefu, nilijuana na huyu binti tangu akiwa kidato cha pili mpaka amemaliza kidato cha sita mwaka tulikuwa tukiwaasilana na kutembeleana kila alipopata likizo mpaka sasa tumejikuta tupo katika uhusiano.
Nimeandika thread hii kuomba ushauri wenu kabla ya kutaka kuchukua maamuzi yangu binafsi, kifupi, nina binamu yangu ambaye huwa namchukulia kama kaka na rafiki yangu wa damu lakini kwa kitendo alichofanya jana amenichefua na nimemuona hafai..
Kwa kuwa namchukulia kama rafiki sikuweza kumficha kuhusu Girlfriend nikampa mpaka namba za simu na kuna siku tulienda pamoja mpaka kwa Girlfriend wangu na akaonana nae, kwa hiyo tangu siku hiyo wamekuwa wakiwasiliana kila mara na huwa wanataniana sana, GF wangu ni Mcheshi na ni muongeaji na anamchangamkia kila mtu hata binamu yangu na yeye ni muongeaji na anapenda sana utani...
Jana usiku kampigia GF wangu simu akawa anamwambia ni lini atakuja Dar? Anataka kuonana nae lakini asiniambie mimi na akija atachukua hotel wataspend the whole night pamoja.
GF wangu alichomjibu akamwambia hawezi kuja dar bila mimi kupata taarifa.. na akazidi kumwambia kwa sasa uwezekano wa kuja Dar ni mdogo kwani tarehe 3 October anaenda Chuo Iringa Tumaini. Kwa hiyo hawezi kuja na kama akija basi atakuja kwa sababu maalum.
( GF WANGU KWA SASA YUKO KWA BIBI NA BABU YAKE MOSHI)
MAZUNGUMUZO HAYA GF WANGU ALIKUWA ANAYAREKODI NA AMENITUMIA SOUND CLIP KWENYE EMAIL.
Alilazimika kurekodi na kunitumia baada ya kuona jamaa anaanza kuongea ishu ambazo sizo, na GF wangu hajapendezwa na hili jambo kabisa.
Inshort Binamu yangu ana motto wa kiume ana miezi alizaa na msichana wakati wakiwa chuo huku Malaysia.
Kwa kweli alichokuwa anakiongea huyu jamaa kimenisikitisha na kimenifanya nimuone mshenzi wa tabia na ambaye hafai katika jamii sasa nifanyaje??/
Nilichokuwa nimepanga:-
- Nimemwambia shangazi ambaye ni mama yake au dada yake
- Nimchane live
- Nimwambie mke wake ambae amezaa nae na ikiwezekana nimpelekee na ile Sound clip asikilize
- Au niwambie washikaji zake ili wampe live.
Please advice wakuu:
Note: my cousin- 27 years. Me 24(kesho) and my GF is 21