Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,284
- 39,509
Its a saturday,
Ipo hivi kuna dada mpangaji mwenzangu hapa home, 1 month ago wacha niwape story manake imenigusa hii hasa kwa sisi ambao hatujaoa tutajifunza kitu hapa. Kuna jamaa huwa anakuja kwa huyu dada ni bint wa chuo 2nd yr, hyu jamaa huwa haonekanik sana kwa mwez anaweza kuja mara2 or hata1 kutokana na nature ya kazi yake ni wa masafa sana. Sasa kuna siku alikuja akanigongea mlango akaomba charger nikampa, haikuzid dk5 akarud tena akasema kaja tufahamiane hata kupiga story kukaa alone ni soo, nahis baada ya kuona me na utani sana na hyu dada aka jiran, majiran hawa[emoji23]
Bhas akajitambulisha kwamba yeye ni mpenz wa yule jiran yangu na wana almost 1 and half year kwa mahusiano na inshort ana malengo naye na demu anajua hilo. Lakin huyu jiran mimi hjawai niambia hizi habar kabisaa
Tulivozid kupiga story ikatokea kukubaliana fasta sana bhas akaniomba niwe nampa infos za huyu bibie kama asiporud kwake, kama kuna wanaume ambao siwaamin wanakuja mle niwe namwambia lengo lake yeye ni kujua kama ni kwel ametulia haruki asije kuweka malengo na mtu asiye eleweka. Ofcoz ilinigusa hili hasa kwa sisi mabaharia na jamaa kwel anania ya kumwoa ilinigusa hii.
Kwanza jamaa analipa kodi 150k/months bado kila mwez anampa 300k ya matumiz kununua vitu muhim na yeye pia. Toka sijameet na hyu jamaa hapa home kuna kisharobaro ambacho huwa kinakuja kwa hyu dada kwanza hakisalimii, huwa kinakuja sana hapa sema leo nkasema wacha nichunguze manake me sinaga habr na kumfuatilia mtu, Leo kimekuja kama sa5 asbh hivi nilikua nafua kama kawaida yake hakusalimia. Nikasikia wanaongea seblen story lakn baada ya muda nikaona kimya kimetawala.
Nikasema wacha leo nijarib ku research nikazunguka nyuma dirishan taratibu nikaslide dirisha nkaona live msela anakula mzigo jasho kama zote a/c + fenn zipo on dada kawekwa Doggy , nikajua jamaa ni mgen na haya mambo basi nikachukua cm yangu nika chukua video kabisa ya ushahidi.
Huyu dem ofcourse ni jiran yangu sana utani mwingi na mara nyingi huwa harud hapa huwa nampoteze jamaa akiniuliza whts goin on huwa namwambia cool. Jamaa juz kanitumia 100k bila kumwomba akasema insave tu hizi 20k za airtme almost kila week inshort anatuma yaan ni zaid ya brother kwangu sahiv, na kuna project tunataka ianza ifanya. Shida huyu jiran hajui kama me na mawasiliano na jamaa ake ni secret tulifanya asijue.
Mabahria nichomoe betri? Au nipotezee demu haeleweki huyu kama anagongewa ndani si ataingza michepuko akiolewa?? Si bora hata angeenda lodge na huyu jamaa ake, afu huyu sharobaro inaonekana hana hela anapewa na dada[emoji119].
Mambo kama haya tutaoa kweri masela?
Ipo hivi kuna dada mpangaji mwenzangu hapa home, 1 month ago wacha niwape story manake imenigusa hii hasa kwa sisi ambao hatujaoa tutajifunza kitu hapa. Kuna jamaa huwa anakuja kwa huyu dada ni bint wa chuo 2nd yr, hyu jamaa huwa haonekanik sana kwa mwez anaweza kuja mara2 or hata1 kutokana na nature ya kazi yake ni wa masafa sana. Sasa kuna siku alikuja akanigongea mlango akaomba charger nikampa, haikuzid dk5 akarud tena akasema kaja tufahamiane hata kupiga story kukaa alone ni soo, nahis baada ya kuona me na utani sana na hyu dada aka jiran, majiran hawa[emoji23]
Bhas akajitambulisha kwamba yeye ni mpenz wa yule jiran yangu na wana almost 1 and half year kwa mahusiano na inshort ana malengo naye na demu anajua hilo. Lakin huyu jiran mimi hjawai niambia hizi habar kabisaa
Tulivozid kupiga story ikatokea kukubaliana fasta sana bhas akaniomba niwe nampa infos za huyu bibie kama asiporud kwake, kama kuna wanaume ambao siwaamin wanakuja mle niwe namwambia lengo lake yeye ni kujua kama ni kwel ametulia haruki asije kuweka malengo na mtu asiye eleweka. Ofcoz ilinigusa hili hasa kwa sisi mabaharia na jamaa kwel anania ya kumwoa ilinigusa hii.
Kwanza jamaa analipa kodi 150k/months bado kila mwez anampa 300k ya matumiz kununua vitu muhim na yeye pia. Toka sijameet na hyu jamaa hapa home kuna kisharobaro ambacho huwa kinakuja kwa hyu dada kwanza hakisalimii, huwa kinakuja sana hapa sema leo nkasema wacha nichunguze manake me sinaga habr na kumfuatilia mtu, Leo kimekuja kama sa5 asbh hivi nilikua nafua kama kawaida yake hakusalimia. Nikasikia wanaongea seblen story lakn baada ya muda nikaona kimya kimetawala.
Nikasema wacha leo nijarib ku research nikazunguka nyuma dirishan taratibu nikaslide dirisha nkaona live msela anakula mzigo jasho kama zote a/c + fenn zipo on dada kawekwa Doggy , nikajua jamaa ni mgen na haya mambo basi nikachukua cm yangu nika chukua video kabisa ya ushahidi.
Huyu dem ofcourse ni jiran yangu sana utani mwingi na mara nyingi huwa harud hapa huwa nampoteze jamaa akiniuliza whts goin on huwa namwambia cool. Jamaa juz kanitumia 100k bila kumwomba akasema insave tu hizi 20k za airtme almost kila week inshort anatuma yaan ni zaid ya brother kwangu sahiv, na kuna project tunataka ianza ifanya. Shida huyu jiran hajui kama me na mawasiliano na jamaa ake ni secret tulifanya asijue.
Mabahria nichomoe betri? Au nipotezee demu haeleweki huyu kama anagongewa ndani si ataingza michepuko akiolewa?? Si bora hata angeenda lodge na huyu jamaa ake, afu huyu sharobaro inaonekana hana hela anapewa na dada[emoji119].
Mambo kama haya tutaoa kweri masela?