Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
For the takribani muongo sasa natafuta shori
..lakini most nimekutana na mashori ambao at the end naona miyeyusho
baada ya kuwa shortlist nikapata hawa
.
Denti IFM .mkaliii saana mweupe(rangi zangu) mzuri kweri kweri,sauti saafi,ana huruma ila tatizo lake kila weekend anataka tutoke club na mazaga zaga kama hayo .she like more sex anakunywa wine tu...story zake ni za shule tu ambazo zikizidi huwa zinaniboa
Banker1 .huyu ana busara,kasoma vema,ana mijipesa tatizo lake yu busy sana na ana principal nyiingi kwa kila jambo,hapendi kona kona .hata sex lazima niandike proposal 3days b4 .anasoma magazeti magumu gumu,tv chanel zake ni cnn,eljazeera hapendi uswahili uswahili najua yupo JF .ana wivu wa kichini chini
Shori wa kitaa .huyu hana mpya,hana kazi,hajasoma vema,magazeti anayosoma ya shigongo,kipindi chake leo tena cloudsfm na mirindimo ya pwani timesfm .she is typical mswazi .uzuri wake mkaliiii na ni fundi kitandani anakunywa beer za kila aina,wine na nk hana wivu
Banker2 huyu yeye ni expensive sana,ni mtu wa kutoka na viwanja vyake expensive ukitoka lazima uwe na si chini ya kilo .story zake movie,arsenal na man u .uzuri wake analipuka pamba si kitoto .pesa anayo ila nae miezi kama hii keshaishiwa anakunywa wine tu .ana wivu balaa
Secretary .nilimpata kwenye internet cafee Fulani mitaa ya ukwelini .yupo kampuni moja kama secretary .muda mwingi yuko facebook,plan zake ni kwenda ulaya ana dream kubwa kubwa lakini hatii juhudi kuzifanikisha..ni motto wa kigogo
K
wa kifupi woote hawa ni wakali weupee .wana push mandinga isipokuwa shori wa kitaa .nichague yupi kati ya hawa .
Denti IFM .mkaliii saana mweupe(rangi zangu) mzuri kweri kweri,sauti saafi,ana huruma ila tatizo lake kila weekend anataka tutoke club na mazaga zaga kama hayo .she like more sex anakunywa wine tu...story zake ni za shule tu ambazo zikizidi huwa zinaniboa
Banker1 .huyu ana busara,kasoma vema,ana mijipesa tatizo lake yu busy sana na ana principal nyiingi kwa kila jambo,hapendi kona kona .hata sex lazima niandike proposal 3days b4 .anasoma magazeti magumu gumu,tv chanel zake ni cnn,eljazeera hapendi uswahili uswahili najua yupo JF .ana wivu wa kichini chini
Shori wa kitaa .huyu hana mpya,hana kazi,hajasoma vema,magazeti anayosoma ya shigongo,kipindi chake leo tena cloudsfm na mirindimo ya pwani timesfm .she is typical mswazi .uzuri wake mkaliiii na ni fundi kitandani anakunywa beer za kila aina,wine na nk hana wivu
Banker2 huyu yeye ni expensive sana,ni mtu wa kutoka na viwanja vyake expensive ukitoka lazima uwe na si chini ya kilo .story zake movie,arsenal na man u .uzuri wake analipuka pamba si kitoto .pesa anayo ila nae miezi kama hii keshaishiwa anakunywa wine tu .ana wivu balaa
Secretary .nilimpata kwenye internet cafee Fulani mitaa ya ukwelini .yupo kampuni moja kama secretary .muda mwingi yuko facebook,plan zake ni kwenda ulaya ana dream kubwa kubwa lakini hatii juhudi kuzifanikisha..ni motto wa kigogo
K
wa kifupi woote hawa ni wakali weupee .wana push mandinga isipokuwa shori wa kitaa .nichague yupi kati ya hawa .