amankisamo
Member
- Jul 28, 2016
- 8
- 3
Mnanishaurije kuhusu doctor medicine UDSM ??????
cha kata tena!? Vipi UDSM??Ulipata ngapi form four? Or u can apply for Doctor of dental surgery at Muhas coz MD kwa performance ya mwaka huu hutopata chuo kizuri like Muhas. Labda uende chuo cha kata kma kcmc
UDSM inafanana sana Na Muhas coz hata maProf wanaofundisha UDSM wanatokea Muhas. Anyway jarib karata yakocha kata tena!? Vipi UDSM??
Sijui watu kama hawa wanatokea wapi asee, mtu anaropoka tu kwa stori za vijiweni hana hata data.Kwa taarifa yako kuna malecturer wanafundisha md udsm wanatoka kwenye hivyo vyuo unavyoita vya kata. ukihitaji ntakutajia kwa majina.Halafu usikariri sio wote wanaofundisha chuo ni professors.HAKUNA professor wa muhimbili anaefundisha udsm, maprofesa wana mambo mengi ya kufanya sio kupiga party time kwenye hutwo tuvyuo twenu twa mwendokasiUDSM inafanana sana Na Muhas coz hata maProf wanaofundisha UDSM wanatokea Muhas. Anyway jarib karata yako
Ulipata ngapi form four? Or u can apply for Doctor of dental surgery at Muhas coz MD kwa performance ya mwaka huu hutopata chuo kizuri like Muhas. Labda uende chuo cha kata kma kcmc
KCMCWaheshimiwa naombeni msaada
Kulingana na cutting points walizitoa TCU mie nina point saba yani BB+ in chemistry and biology f6 2015. Niombe chuo kipi kwa MD?
UDSM wanataka izo saba Fanya ivo fastaWaheshimiwa naombeni msaada
Kulingana na cutting points walizitoa TCU mie nina point saba yani BB+ in chemistry and biology f6 2015. Niombe chuo kipi kwa MD?
i min mnasoma mmejifungia ndan ili mmalize course !Exposer..ulimaanisha nini mkuu
But mbn hata cc udom coz ni hv karibun tunafundishwa na waalim wa bugando u min we a even the sameUDSM inafanana sana Na Muhas coz hata maProf wanaofundisha UDSM wanatokea Muhas. Anyway jarib karata yako
i min mnasoma mmejifungia ndan ili mmalize course !
Kama ni exposure basi MUHAS wanayo as pale wana hospitali ya taifa yenye cases nyingi tofauti tofauti hivyo zile rotation zinawaweka wanafunzi kujua cases nyingi sana
kcmc ni chuo cha kata ya wapi mkuu?Ulipata ngapi form four? Or u can apply for Doctor of dental surgery at Muhas coz MD kwa performance ya mwaka huu hutopata chuo kizuri like Muhas. Labda uende chuo cha kata kma kcmc
MUHAS inakuhusu mkuu kimbilia pale tena cutpoint zao ni tano tu
Uyo akiomba muhas MD anaeza pata maana ana BB+ na kwa taarifaako.Unapotosha kwa faida gani?Nani amekwambia MD ya MUHAS cut off points ni 5?
Uyo akiomba muhas MD anaeza pata maana ana BB+ na kwa taarifaako.
Grade za BRN azijabadrshwa chochote.
ni danganya toto ili walioahrsha mwaka wasiombe koz nzur kuongeza compttn.
kuna jamaa nmemfanyia amna badlko lolote la grade.
uyo muhas anapata.
ACHA KUKALILI.
Na mwaka huu wengi wana D plane.
Tulia dogo acha kukatisha mtu tamaa na aujui kitu.Wewe,,umeona sehemu nimesema akiomba MUHAS hapati?
Acha kukurupuka kuquote watu na multiple ids zako
Tulia dogo acha kukatisha mtu tamaa na aujui kitu.
wala ujui mabadrko ya grade yako vp.
anapata MUHAS MD.
kuna dogo 2015 alipata Phys C Chem B bio B bam B ila kaomba muhas.
100%awez kosa kwa hyo tulia na chuo chako cha kata.
usimkatishe mtu tamaa.
na walioahrsha mwaka ombeni MD muhas cuhas na kcmc 100% mnapata maana matokeo necta ilishayaingiza kwny systm za TCU now amna badrko lolote .
madogo weng waliojitahd wamepata D plane.