Niagize chochote Dubai

Ndugu zangu awali ya yote ni washukuru Wana jamiiforums wote ambao mliguswa na changamoto yangu iliyo nikuta ambayo ilipelekea kuandika Uzi uliotafsiliwa kama nimekata tamaa😭😭😭 Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Kwakweli kipindi naandika huo Uzi nilikuwa kwenye msongo mkali sana wa mawazo...! Kwasasa akili yangu imetulia...!

Miaka 3 ilivyo pita nilikuwa natafuta fursa za kazi nchi za nje...kwa bahati nzuri mwaka huu Nika bahatika kupata safari kwenye falme za kiarabu huku Dubai kwa hivi sasa nipo Dubai napambana Uzi wangu huu ni rejea nzuri 🤣🤣🤣🤣

Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

Huku Dubai Kuna fursa za bidhaa nyingi ambazo bei zake ni za Hali ya chini sana...hivyo kama Kuna wafanya biashara/mfanyabiashara anahitaji bidhaa yoyote kutoka Dubai Nina weza Nika kusaidia kwa niaba Yako nikakununulia bidhaa unayo itaka na kukutumia ndani ya muda mchache.

Kwa bidhaa chache ndani ya masaa 72 unakuwa umepata mzigo wako...!

Hivyo hakuna aja ya wewe kufunga safari kuja huku...nipo nitafanya hivyo kwaajili Yako...!

View attachment 2990271
Mnao hitaji simu, perfume za aina zote, computer, vifaa vya magari, vifaa vya umeme niagize nitakutumia mzigo wako ndani ya muda mchache kwa uaminifu wa Hali ya juu...!

Kwa mawasiliano mnaweza kunipata kwa namba zangu za Whatsapp +971581480619...!

Au kama unacho kifurushi Cha international call unaweza kunipata kwa namba hizo hizo +971581480619...!

View attachment 2990274
Kuna mtu anasubiriwa na bonge la rungu atokeze kwenye kona
 
Ndugu zangu awali ya yote ni washukuru Wana jamiiforums wote ambao mliguswa na changamoto yangu iliyo nikuta ambayo ilipelekea kuandika Uzi uliotafsiliwa kama nimekata tamaa😭😭😭 Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Kwakweli kipindi naandika huo Uzi nilikuwa kwenye msongo mkali sana wa mawazo...! Kwasasa akili yangu imetulia...!

Miaka 3 ilivyo pita nilikuwa natafuta fursa za kazi nchi za nje...kwa bahati nzuri mwaka huu Nika bahatika kupata safari kwenye falme za kiarabu huku Dubai kwa hivi sasa nipo Dubai napambana Uzi wangu huu ni rejea nzuri 🤣🤣🤣🤣

Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

Huku Dubai Kuna fursa za bidhaa nyingi ambazo bei zake ni za Hali ya chini sana...hivyo kama Kuna wafanya biashara/mfanyabiashara anahitaji bidhaa yoyote kutoka Dubai Nina weza Nika kusaidia kwa niaba Yako nikakununulia bidhaa unayo itaka na kukutumia ndani ya muda mchache.

Kwa bidhaa chache ndani ya masaa 72 unakuwa umepata mzigo wako...!

Hivyo hakuna aja ya wewe kufunga safari kuja huku...nipo nitafanya hivyo kwaajili Yako...!

View attachment 2990271
Mnao hitaji simu, perfume za aina zote, computer, vifaa vya magari, vifaa vya umeme niagize nitakutumia mzigo wako ndani ya muda mchache kwa uaminifu wa Hali ya juu...!

Kwa mawasiliano mnaweza kunipata kwa namba zangu za Whatsapp +971581480619...!

Au kama unacho kifurushi Cha international call unaweza kunipata kwa namba hizo hizo +971581480619...!

View attachment 2990274

Nilifanya utafiti nikagundua zama za kutegemea maagent kwenye utandawazi wa kitechnolojia zimepitwa na wakati. Nilisubiri miaka 4 bila mafanikio kwa kutegemea agents.

Ili ufanikiwe ni lazima uwe na pesa hata hao maagent ni lazima utawalipa...hakuna agent atakae kusaidia Bure.

Mimi nilijipanga Nika tafuta pesa zangu mwenyewe...

Nikakata visa.. agent nilimtumia airfox safari walisimamia visa na ticket...ndege nilitumia air TanzaniA...!

Ajira nchi za falme za kiarabu zipo...ajira ni nyingi mno ila lazima utulize kichwa...! Dubai mwanamke kukutongoza ni jambo LA kawaida sana...ukiingia kichwa kichwa visa inaisha muda ukiwa hujapata chochote...!View attachment 2990343

Acha ndugu yangu warabu wameendelea pesa wanazo na wanajua jinsi ya kunitumia...,!View attachment 2995012

Kwa sababu majina yako halisi na sura yako tushaifahamu humu Jamii Forum sion maana ya wewe kutumia fake ID. Nashauri utumie majina yako halisi tena verify account yako,,,, hii itawafanya wateja wanaokuagiza bidhaa wawe na iman kwako maana wanajua at least wanadeal na mtu wanaemfaham kdogo.
Kidogo kidogo badae unafungua kampun kabisa.

Ni USHAURI TU!!
 
Kwa sababu majina yako halisi na sura yako tushaifahamu humu Jamii Forum sion maana ya wewe kutumia fake ID. Nashauri utumie majina yako halisi tena verify account yako,,,, hii itawafanya wateja wanaokuagiza bidhaa wawe na iman kwako maana wanajua at least wanadeal na mtu wanaemfaham kdogo.
Kidogo kidogo badae unafungua kampun kabisa.

Ni USHAURI TU!!
Noted...and accepted...ila Mimi Niko veryfied muda mbona
 
Kwamba akili yako ndio imefika mwisho wa kufikiri?
Walau umenisaidia...unajua anayo haki ya kusema hivyo asilimia 99 ya wafanya online business sio waaminifu😭😭😭

Hao ndio wanao tuharibia waaminifu tuonekane kama ndio wale wale...sisi kama watanzania nikiwemo Mimi inabidi tuwe wa mfano...ili mtu akiwa mtandaoni ajione kama yupo mtaani kwake...! Awe huru na salama...!​

Huku duniani mtandao ni salama kuliko mtaa...

Huku dala dala na tren zinaongozwa kimtandao bila kondakta na wote wanalipa nauli...!​
 
Kwa sababu majina yako halisi na sura yako tushaifahamu humu Jamii Forum sion maana ya wewe kutumia fake ID. Nashauri utumie majina yako halisi tena verify account yako,,,, hii itawafanya wateja wanaokuagiza bidhaa wawe na iman kwako maana wanajua at least wanadeal na mtu wanaemfaham kdogo.
Kidogo kidogo badae unafungua kampun kabisa.

Ni USHAURI TU!!
Ushauri wako nimesha ufanyia kazi mkuu... nasubiri oder Yako tuu...🤣🤣🤣​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom