we, we, we, we chunga sana nimeongea upupu mimi!!!! CCM ndio chama pekee kinachoweza kuiongoza nchi hii. Bila CCM hakuna nchi bwana. uko hapo?
Hivi watu wa Tanzania mbona hamna shukurani? CCM imekutoeni mbali, kumbukeni CCM imezaliwa na TANU na ASP, kwa hiyo Bila CCM watu wa bara na visiwani msingepata uhuru.
Mazuri yote mnayoyaona yanatokana na CCM, elimu uliyonayo ni CCM, maisha yako ya zamani na sasa ni CCM, uhuru wa kuongea, kuabudu na vyombo vya habari ni CCM, jamani mbona mnalaumu uongo?
Kumbukeni hata hivyo vyama vyenu vya siasa mnavyoviita upinzani bila CCM visingekuwepo. Loh! niachieni CCM yangu.
Watu gani nyie msio na shukurani, baba ni baba tu, hata siku moja bega halizidi kichwa hata kama linaonekana ni kubwa. TCCM tutashinda siku zote na miaka yote.
Nawasilisha.
Mbona mambo yako yanafananafanana kama Steaven Wassira?.... au wewe ndiye?....anyway nilikuwa napita tuHivi watu wa Tanzania mbona hamna shukurani? CCM imekutoeni mbali, kumbukeni CCM imezaliwa na TANU na ASP, kwa hiyo Bila CCM watu wa bara na visiwani msingepata uhuru.
Mazuri yote mnayoyaona yanatokana na CCM, elimu uliyonayo ni CCM, maisha yako ya zamani na sasa ni CCM, uhuru wa kuongea, kuabudu na vyombo vya habari ni CCM, jamani mbona mnalaumu uongo?
Kumbukeni hata hivyo vyama vyenu vya siasa mnavyoviita upinzani bila CCM visingekuwepo. Loh! niachieni CCM yangu.
Watu gani nyie msio na shukurani, baba ni baba tu, hata siku moja bega halizidi kichwa hata kama linaonekana ni kubwa. TCCM tutashinda siku zote na miaka yote.
Nawasilisha.
Mwalimu pia aliongezea angalizo hili: Ikiwa CCM itashindwa kutoa uongozi bora, Watanzania watautafuta kwingineko. CCM imeshashindwa kutoa uongozi ndio maana wako bize wanajivua magamba. Watanzania tunatafuta uongozi bora kwingineko.Hakuna humu ndani mtu aliyekuwa na mawazo na fikra pevu kama Mwalimu, kama yupo anyooshe mkono. Na yeye Mwalimu aliisha sema ' BILA CCM IMARA NCHI ITAYUMBA' na ndilo linalo dhihirika hivi sasa
Sasa kama unauhakika wa kushinda wakati wote na miaka yote una lalamika nini?Hivi watu wa Tanzania mbona hamna shukurani? CCM imekutoeni mbali, kumbukeni CCM imezaliwa na TANU na ASP, kwa hiyo Bila CCM watu wa bara na visiwani msingepata uhuru.
Mazuri yote mnayoyaona yanatokana na CCM, elimu uliyonayo ni CCM, maisha yako ya zamani na sasa ni CCM, uhuru wa kuongea, kuabudu na vyombo vya habari ni CCM, jamani mbona mnalaumu uongo?
Kumbukeni hata hivyo vyama vyenu vya siasa mnavyoviita upinzani bila CCM visingekuwepo. Loh! niachieni CCM yangu.
Watu gani nyie msio na shukurani, baba ni baba tu, hata siku moja bega halizidi kichwa hata kama linaonekana ni kubwa. TCCM tutashinda siku zote na miaka yote.
Nawasilisha.