Niachane vipi na huu mchepuko?

Niachane vipi na huu mchepuko?

nampenda sana mke wangu nampenda na mtoto mtarajiwa
we kaka mimi nahisi Mungu akusaidie katika kipindi kigumu!
maana ungekua ynampenda mkeo usingechepuka
baada ya kuona jumba bovu linakuangukia unajifanya humtaki unarudi kwa mkeo kisa hutapata papuchi mwaka mzima na utalea??

ndo faida ya uzinzi kaka / mwanaume wa kweli hakimbii majukumu
alafu huyo khadija mwakani mwezi kama huu ataaanza tena kuruka majoka sijui utamfata tena......?!?!
acha kukimbia kinyago ulichokichonga ..wajibika
Kula ubwabwa haimanishi hutaki viazi. What do I mean, mwanaume kuchepuka himanishi hataki mke wake, kumbuka waliumbwa kwa tama
 
Hutaki kulea mtoto wa mchepuko! Huyo aliye tumboni mwa mke wako unauhakika gani kama ni wako? Kilichomtokea aliye mtia mimba mchepuko wako, huenda kilikuwa kinakutokea na wewe. angalia ile 47% isikuhusu!
 
Kula ubwabwa haimanishi hutaki viazi. What do I mean, mwanaume kuchepuka himanishi hataki mke wake, kumbuka waliumbwa kwa tama
sasa si aendelee kulea mchepuko konachomkimbiza nini?
eti nampenda mke wanguuu
nampenda hio vipiii....?
 
Yaani wewe, eti "nampenda sana mke wangu" unajisikia unachokisema kweli? Hadi kutoka na mchepuko ulivurugwa au ndo kurogwa unakosemaee. Vijana siku hizi mmekalia kuendekeza kugegedana sijui ndo sifa..., halafu mnakimbia majukumu yenu. Yaani umchezee na kumchafua na kuchambua chambua papuchi ake aafu unajifanya unammwagaeee? Na bora urogwe tu umezidi tabia mbaya hiyoo. Lakini kama unadhani na kukili kuwa umetenda dhambi tubu kwa MOLA wako na usirudie tabia hiyo chafu ndiyo huyo bidada uchawi wake hautakukuta. Fyuuuu weee
 
Mkuu ni mda muafaka sasa wa kumsaidia huyo mwanadada hata km hutaki kuendelea naye lkn muonyeshe upendo, kuwa na huruma ndugu yangu haijalishi huyo mtoto si wa kwako.
 
nampenda sana mke wangu nampenda na mtoto mtarajiwa
we kaka mimi nahisi Mungu akusaidie katika kipindi kigumu!
maana ungekua ynampenda mkeo usingechepuka
baada ya kuona jumba bovu linakuangukia unajifanya humtaki unarudi kwa mkeo kisa hutapata papuchi mwaka mzima na utalea??

ndo faida ya uzinzi kaka / mwanaume wa kweli hakimbii majukumu
alafu huyo khadija mwakani mwezi kama huu ataaanza tena kuruka majoka sijui utamfata tena......?!?!
acha kukimbia kinyago ulichokichonga ..wajibika
Mfalme daudi na uchamungu wake wote alichepuka iweje huyu jamaa? Acheni kujudge watu
 
wanafidia ile service charge waliyoondoa kwenye umeme ccm ni .................malizia
9518af5c0d0c4b6bf3675b879bba7d65.jpg
hahahahahahahaahh
Hahaaa, nshatumiaga hii style kitambo kidogo hayo matusi niliyopewa sitakaa nisahau.
 
Habari za muda huu wanachama wenzangu wa JF, matumaini yangu hamjambo na ni wazima wa afya,

Ningependa kusema najuta kutembea na msista flani mwenye mimba na amejifungua mwezi wa 6 kwa oparesheni, binafsi nina mke wangu ambae nae ana ujauzito wangu na anategemea kujifungua mwezi huu wa 7 sio zaidi ya wiki mbili zijazo,kwa kifupi nimeamua kubaki na mke wangu na kumuandalia maisha mema na mazuri mtoto wangu hivyo nafsi yangu inanitaka niachane na huyo mchepuko japo naogopa nikimwambia simtaki anaweza kuchukua hatua hatarishi na kuniweka matatani au hata kuniroga manake nishapewa stori kabila lao ni moto wa kuotea mbali.

Nimejitahidi kutopokea simu zake kwa muda lakini naona mwenzangu hajui kusoma alama za nyakati kwani kila muda ananisumbua na mimi kutoka ndani ya moyo simtaki na sina muda wa kulea mtoto nisiejua kapatikana wapi,nampenda mke wangu na nampenda sana mtoto wangu ajae.

Naombeni ushauri niachane nae vipi huyu single mother?

NATANGULIZA SHUKRANI KWENU WANA JAMIIFORUMS.
Kwa hiyo mwanzo hukuwa unampenda mkeo?,na wakati unabinuana na mchepuko ulikuwa huoni kama unatoka nje ya ndoa?
 
hahaha....naona ulikuwa unabadilisha mboga mkuu sasa kitu kimetiki kote kote!
Jiandae kulea watoto wote mkuu, assume mkeo ndio amekuzalia mapacha😀😀
 
Back
Top Bottom