Niachane vipi na huu mchepuko?

Niachane vipi na huu mchepuko?

dah ...hatari keli kweli....hivi kwa nini mnashindwa kuwaambia michepuko kuwa bwana hapa ni kugegedana tuu. no ndoa no watotoz na wewe mwenyewe unakuwa kama mbogo likija suala la mimba za kijinga.
uzuri dunia ya sasa wadada waelewa kabisa cha msingi wee umwambie ukweli ili ajue kuwa unamgegeda tuu na yeye apate pesa zako..tit for tat
Mkuu tatizo hawa watu hawatabiriki unaweza sema uanishe kila kitu kwake ndo kwanza ukajikuta unajipalia makaa ya moto anaweza akaja kuharibu kwa bi mkubwa nikakosa pote ndo maana sijamwambia kuwa nina mke.
 
hapo ndio nimegundua kuna virusi mchepuko vinabidi vitafutiwe kinga na dawa
Haiwezekani mkeo ndani ana mimna umsaliti kwa lijitu lenye mimba kubwa kupita hata ya mkeo.
Sista sisi wanaume tunajijijua tulivyo nawaomba muache dhihaka na mnipatie ushauri jinsi ya kuachana na huyu mwanamke.
 
Mapenzi na mchepuko hayafi ndugu yangu. Unakosea sana kuyazima kama mshumaa.
Mkuu sisi sote ni wanaume tunapaswa kusaidiana katika kipindi kigumu kama hiki naomba usinivunje moyo nipe msaada wa ushauri nami nitakushukuru.
 
Hiyo ni GVB au ukatili Wa kijinsia tunza mimba na mtoto mtarajiwa ila usimsumbue Huyo mkeo kumuhusisha na mzigo wako km kweli unaachana naye kimapenzi achana naye kabisa na mwambie ajue.TUNZA mzigo wako.please tunza huo mzigo,mwombe msamaha mkeo na usikose kupima afya maana hukutumia kings full stop.
 
halafu ulikuwa humpi hela na mtoto umemwachia! akifikisha siku 40 aje akukabidhi ulee na mkeo awanyonyeshe kama mapacha ukizingatia naye atajifungua
Nitawezaje kulea mtoto ambaye sie wangu?? NADHANI NIISHIE HAPO ILA KUMBUKA [HUYU MCHEPUKO NILIMKUTA ANA MIMBA].
 
akipiga simu mpe mtu akupokelee na aseme umepata ajali umekufa baada ya hapo badili namba atajua umekufa

Mkuu wewe kiboko😀😀😀😀😀😀, michongo kama hii tumefanya sana na mwanangu mmoja enzi za ujana wetu.

😀😀😀😀😀😀😀 ................Umenikumbusha mbali sana.
 
Hiyo ni GVB au ukatili Wa kijinsia tunza mimba na mtoto mtarajiwa ila usimsumbue Huyo mkeo kumuhusisha na mzigo wako km kweli unaachana naye kimapenzi achana naye kabisa na mwambie ajue.TUNZA mzigo wako.please tunza huo mzigo,mwombe msamaha mkeo na usikose kupima afya maana hukutumia kings full stop.
Naomba utambue huy mchepuko nilimkuta ana mimba na hivyo hiyo sio mimba yangu.
 
nampenda sana mke wangu nampenda na mtoto mtarajiwa
we kaka mimi nahisi Mungu akusaidie katika kipindi kigumu!
maana ungekua ynampenda mkeo usingechepuka
baada ya kuona jumba bovu linakuangukia unajifanya humtaki unarudi kwa mkeo kisa hutapata papuchi mwaka mzima na utalea??

ndo faida ya uzinzi kaka / mwanaume wa kweli hakimbii majukumu
alafu huyo khadija mwakani mwezi kama huu ataaanza tena kuruka majoka sijui utamfata tena......?!?!
acha kukimbia kinyago ulichokichonga ..wajibika
Mkuu siwezi kulea mtoto ambae sio wangu na sina mpango wa kurudiana nae tena.
 
Aisee sisi wanamume muda mwingine...
Sasa mke unae kwa mchepuko mpaka kutia mimba inakuwaje kuwaje,Acha kukwepa majukumu.
Mkuu NASISITIZA KUWA ujauzito wa mchepuko sihusiki nae kwani nilipomtokea alikuwa na mimba ya kama miezi 6 au 7
 
Hizo sababu ulizotutajia zinazokufanya ushindwe kumwambia ukweli ni justification unatafuta tu. Hivi hivi ulivyotuambia sisi ukimwambia yeye kuna ubaya gani kaka, usijitafutie sababu ili kuendelea nae, kama umeshaamua kuachana na uzinzi ni Jambo Jema usikaribishe kurudi tena nyuma.

Ulisikia case ngapi za watu waliojiua baada ya kuambiwa wanaachwa? Hamna kitu kama hicho, kama hakujiua alipoachwa na huyo jamaa aliyemzalisha tena kwa operesheni ndio atajiua juu yako?

Hebu acha kutafuta sababu za kuendelea kuwa nae, mwite mwambie wazi adhma yako full stop.
Mkuu ningekuwa nimeshafanya hivyo awali ila nilijiuliza madhara tajwa hapo juu nikaona nisifanye hivyo sijui nifanye nini Nimechanganyikiwa.
 
Mimba SIO YANGU,
Nilimuuliza akanijibu ni ya jamaa flani nae alisha mtelekeza.

Sasa hapo waogopa nini? We lala Mbele tu!!! Hata Siku moja usikubali kunyanyaswa na kuishi kwa masharti na kutishiwa.
 
Mkuu wewe kiboko😀😀😀😀😀😀, michongo kama hii tumefanya sana na mwanangu mmoja enzi za ujana wetu.

😀😀😀😀😀😀😀 ................Umenikumbusha mbali sana.
ahahahahmademu ving'ang'anizi dawa yao ndio hiyo tu
 
Sasa hapo waogopa nini? We lala Mbele tu!!! Hata Siku moja usikubali kunyanyaswa na kuishi kwa masharti na kutishiwa.
Mkuu hata mimi nadhani hilo ndo jambo la maana manake hakuna namna na ukizingatia mwenzangu anajua namtaka kweli wakati nilikuwa nampozea maumivu.
 
Hutaki kulea mtoto wa mchepuko! Huyo aliye tumboni mwa mke wako unauhakika gani kama ni wako? Kilichomtokea aliye mtia mimba mchepuko wako, huenda kilikuwa kinakutokea na wewe. angalia ile 47% isikuhusu!
Mkuu na huyu mke wangu nimempa tahadhari endapo mtoto akitoka hafanani chochote na mimi yaani siku hiyo shetani atanisamehe kwa kweli kwa kitendo nitakachokifanya.
 
Back
Top Bottom