Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,125
- 1,533
- Thread starter
- #61
Mkuu tatizo hawa watu hawatabiriki unaweza sema uanishe kila kitu kwake ndo kwanza ukajikuta unajipalia makaa ya moto anaweza akaja kuharibu kwa bi mkubwa nikakosa pote ndo maana sijamwambia kuwa nina mke.dah ...hatari keli kweli....hivi kwa nini mnashindwa kuwaambia michepuko kuwa bwana hapa ni kugegedana tuu. no ndoa no watotoz na wewe mwenyewe unakuwa kama mbogo likija suala la mimba za kijinga.
uzuri dunia ya sasa wadada waelewa kabisa cha msingi wee umwambie ukweli ili ajue kuwa unamgegeda tuu na yeye apate pesa zako..tit for tat
