bo adams
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 213
- 352
Single mothers ni wanawake km wanawake wengine, wanaumia, wanahisia, wana haki ya kupenda na kupendwa. Kuna waliokuwa single mothers kwa kuachwa na kutelekezwa, kuna waliofiwa(msiba) na matatizo ya maradhi, historia au ugumu wa maisha waliopitia mpk wakajiweka pembeni na kusonga mbele bila kukata tamaa.
Mtoto wa single mother ana mwezi mmoja tu tangu amezaliwa, anakupigia simu na kukusumbua kwa ajili ya mtoto mchanga umsaidie kuna magumu anayopitia kipindi hiki cha mwanzoni mwa uzazi na amekuona ww ndio msaada unaweza kumsaidia na kumuonelea huruma..bila kujali ni mwanao au sie (kitanda hakizai haramu), mtoto mchanga hana gharama kubwa mahitaji yake
Usimuache kwa kipindi hiki, jus take care of her b'se she needs u
Mtoto wa single mother ana mwezi mmoja tu tangu amezaliwa, anakupigia simu na kukusumbua kwa ajili ya mtoto mchanga umsaidie kuna magumu anayopitia kipindi hiki cha mwanzoni mwa uzazi na amekuona ww ndio msaada unaweza kumsaidia na kumuonelea huruma..bila kujali ni mwanao au sie (kitanda hakizai haramu), mtoto mchanga hana gharama kubwa mahitaji yake
Usimuache kwa kipindi hiki, jus take care of her b'se she needs u
