Ni Zitto Zuberi Kabwe ama CCM kubeba Lawama..........

Meitinyiku L. Robinson

JF-Expert Member
Aug 29, 2011
412
90
Good day people;

Ukiachana na umaarufu wa tarehe yenyewe ambayo inafahamika duniani kote kuwa ni siku ya wajinga, hapa Nchini tarehe na siku hiyo ndiyo wanayoisubiria Watanzania walio wengi, Makada wa Vyama vya Siasa, Viongozi waandamizi wa Vyama na Serikali na zaidi ni Wananchi wa Arumeru na hasa Arumeru Mashariki ili kujua ama ni SUMMARI au NASSARI. Kila mmoja wetu macho na masikio yetu yameelekezwa huko nyakati hizi Kampeni zinapoelekea mwisho mwisho.

Pamoja na hayo yote ni wakati vile vile kwa Vyama vya Siasa, mashabiki na hata makada kuendelea kuwa na imani ama matumaini ambayo hayajajikita sehemu ama upande mmoja nikiwa na maana wakati huu ni lazma tusimamie mawili kama vile ambavyo mtu anakwenda kupima maambukizi ya Virusi vya Ukimwi majibu yategemewayo ni ama + au - ila ukienda kwa kujiamini kuwa wewe ni + na ukakuta uko - unakuwa umekwisha jitengenezea kaburi lako ghafla kwani zaidi ya majibu hayo uliyopewa ambayo hukuyategemea basi wasiwasi, woga, mshtuko ni baadhi ya mengi yatakayokukumba baada ya majibu hayo kwani haukuwa na utayari wa yote mawili. Vivyo hivyo basi kwa Vyama husika hasa hivi viwili vyenye nguvu its either + or -.

Kumekuwa na hulka ya kuanza kujitengenezea mazingira tetezi mara kura zinaibiwa mara ununuzi wa kadi mara utishiwaji wa wapiga kura na mambo kadha wa kadha na haya yamekuwa sana yakitolewa na Vyama pinzani dhidi ya Chama tawala kwa upande wake Chama tawala mara nyingi pale panapotokea kushindwa basi lawama hurushwa kwa wao wenyewe aidha kwa kutoonesha umoja ama ushirikiano katika Kampeni na haya tumeyashuhudia sana katika uchaguzi wa mwaka 2010 na si vinginevyo.

Sasa kama Vyama hivi shindani havitakwenda kwenye Uchaguzi na wazo la ama kushinda au kushindwa hasa CDM manake imeonekana kuna imani kubwa kupita hata ile punje ya haradani basi yatakuwa kama vile walivyokwisha sema wahenga kwamba "mbaazi ikikosa tunda basi husingizia jua" hivyo CCM waendelee kujiandaa kupokea lawama, kejeli, vitisho, na mambo yafananayo na hayo ila vile vile sidhani katika lawama hizo vile vile Zitto Zuberi Kabwe atapata pa kutokea, naye ajiandae vile vile manake kama Chama chake kitashindwa basi kushindwa huko kutajumlishwa na kauli yake aliyoitoa hivi karibuni na ataambiwa alisababisha wale wanaoitwa makamanda na wanaharakati kukata tamaa ama kukosa nguvu katika mapambano kutokana na kauli yake. Haya ni lazma tuanze kujiandaa nayo kadri siku zinavyokaribia kwisha.

Come out may, kubwa ni kuendelea kuomba amani, utulivu, hekima, na busara viendeleee kutawala katika nyakati hizi za kumalizia Kampeni na hata siku yenyewe ya Uchaguzi. Vyombo vya Ulinzi na Usalama sharti vitambue kuwa utu wa Mtanzania kama ilivyoainishwa katika KATIBA-JMT, UDHR, AU-Charter, na Sheria zinginezo za Kitaifa na Kimataifa ndio mkubwa kuliko hata hiyo kura yenyewe hivyo manyanyaso, vitisho, na mengineyo yasiwe na nafasi katika siku hiyo husika. Watimize wajibu wao kama iwapasavyo.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Arusha, Mungu Ibariki Arumeru, Mungu Ibariki Arumeru Mashariki.

Naomba kutoa hoja.
 
Good day people;

Ukiachana na umaarufu wa tarehe yenyewe ambayo inafahamika duniani kote kuwa ni siku ya wajinga, hapa Nchini tarehe na siku hiyo ndiyo wanayoisubiria Watanzania walio wengi, Makada wa Vyama vya Siasa, Viongozi waandamizi wa Vyama na Serikali na zaidi ni Wananchi wa Arumeru na hasa Arumeru Mashariki ili kujua ama ni SUMMARI au NASSARI. Kila mmoja wetu macho na masikio yetu yameelekezwa huko nyakati hizi Kampeni zinapoelekea mwisho mwisho.

Pamoja na hayo yote ni wakati vile vile kwa Vyama vya Siasa, mashabiki na hata makada kuendelea kuwa na imani ama matumaini ambayo hayajajikita sehemu ama upande mmoja nikiwa na maana wakati huu ni lazma tusimamie mawili kama vile ambavyo mtu anakwenda kupima maambukizi ya Virusi vya Ukimwi majibu yategemewayo ni ama + au - ila ukienda kwa kujiamini kuwa wewe ni + na ukakuta uko - unakuwa umekwisha jitengenezea kaburi lako ghafla kwani zaidi ya majibu hayo uliyopewa ambayo hukuyategemea basi wasiwasi, woga, mshtuko ni baadhi ya mengi yatakayokukumba baada ya majibu hayo kwani haukuwa na utayari wa yote mawili. Vivyo hivyo basi kwa Vyama husika hasa hivi viwili vyenye nguvu its either + or -.

Kumekuwa na hulka ya kuanza kujitengenezea mazingira tetezi mara kura zinaibiwa mara ununuzi wa kadi mara utishiwaji wa wapiga kura na mambo kadha wa kadha na haya yamekuwa sana yakitolewa na Vyama pinzani dhidi ya Chama tawala kwa upande wake Chama tawala mara nyingi pale panapotokea kushindwa basi lawama hurushwa kwa wao wenyewe aidha kwa kutoonesha umoja ama ushirikiano katika Kampeni na haya tumeyashuhudia sana katika uchaguzi wa mwaka 2010 na si vinginevyo.

Sasa kama Vyama hivi shindani havitakwenda kwenye Uchaguzi na wazo la ama kushinda au kushindwa hasa CDM manake imeonekana kuna imani kubwa kupita hata ile punje ya haradani basi yatakuwa kama vile walivyokwisha sema wahenga kwamba "mbaazi ikikosa tunda basi husingizia jua" hivyo CCM waendelee kujiandaa kupokea lawama, kejeli, vitisho, na mambo yafananayo na hayo ila vile vile sidhani katika lawama hizo vile vile Zitto Zuberi Kabwe atapata pa kutokea, naye ajiandae vile vile manake kama Chama chake kitashindwa basi kushindwa huko kutajumlishwa na kauli yake aliyoitoa hivi karibuni na ataambiwa alisababisha wale wanaoitwa makamanda na wanaharakati kukata tamaa ama kukosa nguvu katika mapambano kutokana na kauli yake. Haya ni lazma tuanze kujiandaa nayo kadri siku zinavyokaribia kwisha.

Come out may, kubwa ni kuendelea kuomba amani, utulivu, hekima, na busara viendeleee kutawala katika nyakati hizi za kumalizia Kampeni na hata siku yenyewe ya Uchaguzi. Vyombo vya Ulinzi na Usalama sharti vitambue kuwa utu wa Mtanzania kama ilivyoainishwa katika KATIBA-JMT, UDHR, AU-Charter, na Sheria zinginezo za Kitaifa na Kimataifa ndio mkubwa kuliko hata hiyo kura yenyewe hivyo manyanyaso, vitisho, na mengineyo yasiwe na nafasi katika siku hiyo husika. Watimize wajibu wao kama iwapasavyo.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Arusha, Mungu Ibariki Arumeru, Mungu Ibariki Arumeru Mashariki.

Naomba kutoa hoja.

Mkuu umeongea uhalisia wa jambo lenyewe, lakini je hautashambuliwa hapa, JF ? nauliza hivyo kwa sababu ndani ya JF thread inanoga kama ungekuwa umeshambulia upande mmoja. Hongera sana kwa kusimama katika barabara iliyonyooka. Tanzania wanasiasa wetu bado ni wachanga sana na wanategemea sana kubebwa na majukwaa kama haya , hawawezi kusimmama wao kama wao na ndiyo maaana unaona akiguswa mtu fulani tu inakuwa noma.

Ni uchanga katika siasa ndiyo sababu ya visingizio vingi tuvionavyo katika chaguzi hizi. Ni kutokuwa na viongozi wasafi katika vyama vote bila kujali ni chama tawala au la ndiyo maana tuhuma za hapa na pale kila kukicha. Mimi binafsi sijaona mwanasiasa ambaye anaweza kusimama yeye kama yeye na akaruhusu wananchi wamhoji maisha yake, alikopitia na akakosa tuhuma, jambo ambalo limepelekea hata wale tunaowaita wapiganaji wanabaki na wimbo mmoja tu tena ambao hauna chorus kwa vile wanajua wakiongeza ubeti mwingine nao watakuwa walengwa.

Nitaanza kupiga kura mwaka 2030, kwa sasa niacheni.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
 
Mkuu umeongea uhalisia wa jambo lenyewe, lakini je hautashambuliwa hapa, JF ? nauliza hivyo kwa sababu ndani ya JF thread inanoga kama ungekuwa umeshambulia upande mmoja. Hongera sana kwa kusimama katika barabara iliyonyooka. Tanzania wanasiasa wetu bado ni wachanga sana na wanategemea sana kubebwa na majukwaa kama haya , hawawezi kusimmama wao kama wao na ndiyo maaana unaona akiguswa mtu fulani tu inakuwa noma. Ni uchanga katika siasa ndiyo sababu ya visingizio vingi tuvionavyo katika chaguzi hizi. Ni kutokuwa na viongozi wasafi katika vyama vote bila kujali ni chama tawala au la ndiyo maana tuhuma za hapa na pale kila kukicha. Mimi binafsi sijaona mwanasiasa ambaye anaweza kusimama yeye kama yeye na akaruhusu wananchi wamhoji maisha yake, alikopitia na akakosa tuhuma, jambo ambalo limepelekea hata wale tunaowaita wapiganaji wanabaki na wimbo mmoja tu tena ambao hauna chorus kwa vile wanajua wakiongeza ubeti mwingine nao watakuwa walengwa.
Nitaanza kupiga kura mwaka 2030, kwa sasa niacheni.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.

KENGEMUMAJI heshma kwako;

Kaka hata Biblia inasema makwazo hayana budi kutokea ila ole ni kwake yeye ayaletaye..... kushambulia ni wajibu wa member ila ole wake yeye ashambuliaye manake lazma ushambulizi uwe na mantiki ili kujengana na kukomazana zaidi na si mashambulizi yasiyo na mantiki ndani yake. Hivyo hayo hatuwezi kuyazuia na kama Jukwaa lilivyo katika Siasa lazma ujiandae kwa yote kama wasemavyo Wabunge wetu ujitahidi kuwa na ngozi kama ya Mamba...
 
Mkuu umeongea uhalisia wa jambo lenyewe, lakini je hautashambuliwa hapa, JF ? nauliza hivyo kwa sababu ndani ya JF thread inanoga kama ungekuwa umeshambulia upande mmoja. Hongera sana kwa kusimama katika barabara iliyonyooka. Tanzania wanasiasa wetu bado ni wachanga sana na wanategemea sana kubebwa na majukwaa kama haya , hawawezi kusimmama wao kama wao na ndiyo maaana unaona akiguswa mtu fulani tu inakuwa noma.

Ni uchanga katika siasa ndiyo sababu ya visingizio vingi tuvionavyo katika chaguzi hizi. Ni kutokuwa na viongozi wasafi katika vyama vote bila kujali ni chama tawala au la ndiyo maana tuhuma za hapa na pale kila kukicha. Mimi binafsi sijaona mwanasiasa ambaye anaweza kusimama yeye kama yeye na akaruhusu wananchi wamhoji maisha yake, alikopitia na akakosa tuhuma, jambo ambalo limepelekea hata wale tunaowaita wapiganaji wanabaki na wimbo mmoja tu tena ambao hauna chorus kwa vile wanajua wakiongeza ubeti mwingine nao watakuwa walengwa.

Nitaanza kupiga kura mwaka 2030, kwa sasa niacheni.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.

Mbona mimi naona umeegemea upande mmoja tu bado? Mbona unawataka CDM wasitoe sababu ikitokea wameshindwa, hivi na wewe unakubali kuna ushindani ulio sawa kati ya CCM na Chadema; siku zote Chadema imeshinda majimbo kwa kutumia nguvu ya watu dhidi ya dola na kwa kulazimisha sana; maana upande pili CCM wana usalama wa taifa, police na Tume ya uchaguzi, CCM hutumia dola kushinda lakini hatutaendelea kuvumilia hii tabia ya kuzuia uchanuaji wa democrasia! Sauti toka Arumeru.
 
Good day people;

Ukiachana na umaarufu wa tarehe yenyewe ambayo inafahamika duniani kote kuwa ni siku ya wajinga, hapa Nchini tarehe na siku hiyo ndiyo wanayoisubiria Watanzania walio wengi, Makada wa Vyama vya Siasa, Viongozi waandamizi wa Vyama na Serikali na zaidi ni Wananchi wa Arumeru na hasa Arumeru Mashariki ili kujua ama ni SUMMARI au NASSARI. Kila mmoja wetu macho na masikio yetu yameelekezwa huko nyakati hizi Kampeni zinapoelekea mwisho mwisho.

Pamoja na hayo yote ni wakati vile vile kwa Vyama vya Siasa, mashabiki na hata makada kuendelea kuwa na imani ama matumaini ambayo hayajajikita sehemu ama upande mmoja nikiwa na maana wakati huu ni lazma tusimamie mawili kama vile ambavyo mtu anakwenda kupima maambukizi ya Virusi vya Ukimwi majibu yategemewayo ni ama + au - ila ukienda kwa kujiamini kuwa wewe ni + na ukakuta uko - unakuwa umekwisha jitengenezea kaburi lako ghafla kwani zaidi ya majibu hayo uliyopewa ambayo hukuyategemea basi wasiwasi, woga, mshtuko ni baadhi ya mengi yatakayokukumba baada ya majibu hayo kwani haukuwa na utayari wa yote mawili. Vivyo hivyo basi kwa Vyama husika hasa hivi viwili vyenye nguvu its either + or -.

Kumekuwa na hulka ya kuanza kujitengenezea mazingira tetezi mara kura zinaibiwa mara ununuzi wa kadi mara utishiwaji wa wapiga kura na mambo kadha wa kadha na haya yamekuwa sana yakitolewa na Vyama pinzani dhidi ya Chama tawala kwa upande wake Chama tawala mara nyingi pale panapotokea kushindwa basi lawama hurushwa kwa wao wenyewe aidha kwa kutoonesha umoja ama ushirikiano katika Kampeni na haya tumeyashuhudia sana katika uchaguzi wa mwaka 2010 na si vinginevyo.

Sasa kama Vyama hivi shindani havitakwenda kwenye Uchaguzi na wazo la ama kushinda au kushindwa hasa CDM manake imeonekana kuna imani kubwa kupita hata ile punje ya haradani basi yatakuwa kama vile walivyokwisha sema wahenga kwamba "mbaazi ikikosa tunda basi husingizia jua" hivyo CCM waendelee kujiandaa kupokea lawama, kejeli, vitisho, na mambo yafananayo na hayo ila vile vile sidhani katika lawama hizo vile vile Zitto Zuberi Kabwe atapata pa kutokea, naye ajiandae vile vile manake kama Chama chake kitashindwa basi kushindwa huko kutajumlishwa na kauli yake aliyoitoa hivi karibuni na ataambiwa alisababisha wale wanaoitwa makamanda na wanaharakati kukata tamaa ama kukosa nguvu katika mapambano kutokana na kauli yake. Haya ni lazma tuanze kujiandaa nayo kadri siku zinavyokaribia kwisha.

Come out may, kubwa ni kuendelea kuomba amani, utulivu, hekima, na busara viendeleee kutawala katika nyakati hizi za kumalizia Kampeni na hata siku yenyewe ya Uchaguzi. Vyombo vya Ulinzi na Usalama sharti vitambue kuwa utu wa Mtanzania kama ilivyoainishwa katika KATIBA-JMT, UDHR, AU-Charter, na Sheria zinginezo za Kitaifa na Kimataifa ndio mkubwa kuliko hata hiyo kura yenyewe hivyo manyanyaso, vitisho, na mengineyo yasiwe na nafasi katika siku hiyo husika. Watimize wajibu wao kama iwapasavyo.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Arusha, Mungu Ibariki Arumeru, Mungu Ibariki Arumeru Mashariki.

Naomba kutoa hoja.

kwa nini hasa cdm kwa hao ccm hawapaswi kujiandaa kupoteza hilo jimbo? Acha propaganda zako wewe!
 
Uko sawa sana mkuu
Ila sidhani kama issue ya ZITTO inaimplication yoyote na uchaguzi wa Arumeru. Japo CHADEMA ikishindwa itasababisha kuurudisha mjadala wa ZITTO upya kabisa lakini utakuwa ni upungufu mkubwa sana wa busara kudai kwamba ZITTO ndio amesababisha..
 
Back
Top Bottom