Wanatafuta maisha, maisha huyapati bila kazi, na kazi huipati bila elimu na ujuzi.
sasa filamu na muziki ndiko unaweza kwenda kufanya kazi hata bila elimu na ukapata maisha walau ya hali ya kawaida na ikichanganya walau ufike level ya kina Kanumba na Lady JD.
Ni vema tukiwapa mawazo ya kusaidia ili wakiyapata yawasaidie waweze kuifanya hiyo kazi waliyoamua kufanya kwa ufanisi na kutufurahisha zaidi badala ya kuwa katisha tamaa