BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 53
Waigizaji wetu wanafikiri ukiwa good looking inatosha kuwa nyota wa filamu.....rewind...ni zaidi ya sura na umbo zuri...talent....na waliosomia tasnia hii..sio unakurupuka tu unataka kuigiza siwasemi kwa majina mnajijua.....karibuni vilamu za xxxxx zitaanza huko tunaitaji sura yako nzuri na muonekano wako....huku waachie wanao jua wanafanya nini....mtazamo