Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Hapo ni karibu na ofisi chafu chafu za chama flani hivi...
Hapo ni karibu na ofisi chafu chafu za chama flani hivi...
Usiposema Chadema unaumwaga?Hapo ni karibu na ofisi chafu chafu za chama flani hivi...
eti na Dar ni jiji kati ya majiji!
Dar kuna vibaka wengi lakini hawathubutu kuiba hawa mbuzi wa makaburini, kwa hiyo utajua hawa si mbuzi wa kawaida.
Hapo ni karibu na ofisi chafu chafu za chama flani hivi...
jamani ccta wawatuMi nilidhani picha hii kumbe hiyo bwana aaargghh
View attachment 48927