pmwasyoke
Platinum Member
- May 27, 2010
- 4,991
- 3,807
Kumbe! Ngoja wajipeleke!Mkuu hutaki kuua watu? Ndiyo maana ya mazindiko.
Kumbe! Ngoja wajipeleke!Mkuu hutaki kuua watu? Ndiyo maana ya mazindiko.
sanasana hawa wanaojiita alhaji, maalim na shehe kuroka huko tanga wamejaaa sana mnazi mmoja dar.
Baada ya watu wengi kutoa shuhuda zao za kuponeshwa Sukari, presha,ngiri na mazindiko ya mji na Dr Alhaji toka mkoani Tanga na kwa Maombi ya wakazi wa Mwanza sasa yupo hapa jijini wasiliana naye 0787625719.
guyz you have to be serous on same matters stop be talkative some people are very powerful especialy these traditional healers. When you call him/her make sure you have a reason the appearence of ur nomber to him can make you crazy.Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa huyu mganga ni janga lingine la taifa ambalo ni baya zaidi la lilitokea Loliondo au??
we unanijua mimi ni nani ? Kwa taarifa yako sifuati upepo ..... Pole yakotukiangalia kiundani kama vichwa vya nchi vinaamini sembuse wewe?