Ni zaidi ya Babu wa Loliondo

Ni zaidi ya Babu wa Loliondo

Status
Not open for further replies.
Akitaka watu waamini na wamiminike kwake afanye miujixa ya kupona mtu mwenye kisukar,presha,ukimwi,kansa nk.atashangaa

ni kweli huyu jembe kashaponesha watu wengi wa presha na sukari mkoani kilimanjaro. Kama uko na shida wasiliana nae ushauri si bure.
 
Jamani guyz be serious ushauri na saa si bure ? Ngoja niombe ushauri kwake.
 
Mkuu hapo umenichanganya kidogo tiba za asili zimekufikisha hapo kivipi wewe unatoa tiba au unatibiwa?

walimwengu waone upite, wanamambo kaka kama hayakukuta sali sana, yakikukuta utalala kila mkoa ukitafuta uponyaji.
 
Anaitwa nani!! Mazindiko!! Anataka ktuzindika? Asubiri 2015 bt kama ni tiba aende mhimbili
 
Baada ya watu wengi kutoa shuhuda zao za kuponeshwa Sukari, presha,ngiri na mazindiko ya mji na Dr Alhaji toka mkoani Tanga na kwa Maombi ya wakazi wa Mwanza sasa yupo hapa jijini wasiliana naye 0787625719.

Umelipia JF hili tangazo?
 
Hakuna mganga kama YESU KRISTO, Hakuna mponyaji kama JESUS Christ...Jikabidhi kwake nae atakuweka huru ktk shida na maumivu yote ulinayo.Kristu..Tumaini letu!
 
why not kwa xhehe au kwa mchungaj au padri iwe sehem hizo.
Ndugu yangu mambo Haya yanaenda na imani.kuna wanajamii wakienda kwa shekhe watapata suluu ya matatizo Yao,kuna wa makanisani ,kuna wanaowaamini Hao wa jadi,kuna wanaoamini milima n.k.kila mtu ana Uhuru wa kuamini na kuamua kufuata imani aliyoichagua bila kumbugudhi mwingine na hapaswi kuingiliwa Uhuru huo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom