Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,436
1. Je ni Lowassa? Rafiki yake mkuu aliyemsaidia kuingia ikulu mwaka 2005?
2. Je ni Bernard Membe anayepigiwa upatu na familia ya Kikwete?
3. Je ni Makongoro Nyerere asiye na makundi ndani ya chama wala kashfa za ufisadi?
2. Je ni Bernard Membe anayepigiwa upatu na familia ya Kikwete?
3. Je ni Makongoro Nyerere asiye na makundi ndani ya chama wala kashfa za ufisadi?