Ni yupi chaguo la Kikwete?

Ni yupi chaguo la Kikwete?

Kikwete hana mtu wake. Ndo maana na wewe unabaki kuuliza maswali tu
 
Kama UWAMA ina mafungamano/mahusiano yoyote na Kikwete basi mgombea wa Kikwete Bearnard Membe

Za kuambia changanya na za kwako!
 
DSC03496.jpg

January Makambako sijamuona tangu atangaze nia, kumbe kabadilika kiasi hiki?
 
1. Je ni Lowassa? Rafiki yake mkuu aliyemsaidia kuingia ikulu mwaka 2005?

2. Je ni Bernard Membe anayepigiwa upatu na familia ya Kikwete?

3. Je ni Makongoro Nyerere asiye na makundi ndani ya chama wala kashfa za ufisadi?

JK is too bright to pick Benard Membe kwani anajua hana maamuzi magumu(ingawa yeye mwenyewe hakuwa nayo), nor picking Makongoro Nyerere kwasababu anajua hatakuwa salama, so we are just left with Lowassa ambaye anajua atamllinda kama naye ambavyo hakumwajibisha katika ufisadi wake mf. sakata la Richmond!
 
1. Je ni Lowassa? Rafiki yake mkuu aliyemsaidia kuingia ikulu mwaka 2005?

2. Je ni Bernard Membe anayepigiwa upatu na familia ya Kikwete?

3. Je ni Makongoro Nyerere asiye na makundi ndani ya chama wala kashfa za ufisadi?
Mbona unauliza swali halafu unajijibu? Au Kuna Kikwete mwingine siyo wa hapo kwenye red?
 
January inabidi uandamane, hapo ni Chadema wanakufanyia mchezo mchafu!
 
Huko nikutapatapa tu, ngojeni wakati wao wenyewe
 
1. Je ni Lowassa? Rafiki yake mkuu aliyemsaidia kuingia ikulu mwaka 2005?

2. Je ni Bernard Membe anayepigiwa upatu na familia ya Kikwete?

3. Je ni Makongoro Nyerere asiye na makundi ndani ya chama wala kashfa za ufisadi?

Chaguo Lake Ni Barrack Obama Pekee.
 
1. Je ni Lowassa? Rafiki yake mkuu aliyemsaidia kuingia ikulu mwaka 2005?

2. Je ni Bernard Membe anayepigiwa upatu na familia ya Kikwete?

3. Je ni Makongoro Nyerere asiye na makundi ndani ya chama wala kashfa za ufisadi?

Chaguo la JK lilikuwa Membe kutokana na chapuo la familia yake, ila kutokana na ccm kuhemea ICU wanalazimika kumsimamisha Makongoro ili kunusuru chama dhidi ya kimbuga cha Ukawa
 
Mito
Uneangalia soko lkn maana vyote viende pamoja kunusuru chama na nani anapendwa na watu unaweza kunuru chama nje ya ulingo.
 
Kama UWAMA ina mafungamano/mahusiano yoyote na Kikwete basi mgombea wa Kikwete Bearnard Membe

Za kuambia changanya na za kwako!
​Umenchekesha sana,ndo unaikwepa Cybercrime Act,2015?
 
Back
Top Bottom