Umenifanya nicheke mpaka watu wallnaonizunguka kuhoji furaha yangu.....Kama January kawa hivi basi hata mi sku nyingi sijamuona
Chaguo pekee la JK ni wawekezaji.1. Je ni Lowassa? Rafiki yake mkuu aliyemsaidia kuingia ikulu mwaka 2005?
2. Je ni Bernard Membe anayepigiwa upatu na familia ya Kikwete?
3. Je ni Makongoro Nyerere asiye na makundi ndani ya chama wala kashfa za ufisadi?
JK is too bright to pick Benard Membe kwani anajua hana maamuzi magumu(ingawa yeye mwenyewe hakuwa nayo), nor picking Makongoro Nyerere kwasababu anajua hatakuwa salama, so we are just left with Lowassa ambaye anajua atamllinda kama naye ambavyo hakumwajibisha katika ufisadi wake mf. sakata la Richmond!
1. Je ni Lowassa? Rafiki yake mkuu aliyemsaidia kuingia ikulu mwaka 2005?
2. Je ni Bernard Membe anayepigiwa upatu na familia ya Kikwete?
3. Je ni Makongoro Nyerere asiye na makundi ndani ya chama wala kashfa za ufisadi?
1. Je ni Lowassa? Rafiki yake mkuu aliyemsaidia kuingia ikulu mwaka 2005?
2. Je ni Bernard Membe anayepigiwa upatu na familia ya Kikwete?
3. Je ni Makongoro Nyerere asiye na makundi ndani ya chama wala kashfa za ufisadi?
1. Je ni Lowassa? Rafiki yake mkuu aliyemsaidia kuingia ikulu mwaka 2005?
2. Je ni Bernard Membe anayepigiwa upatu na familia ya Kikwete?
3. Je ni Makongoro Nyerere asiye na makundi ndani ya chama wala kashfa za ufisadi?
Tanzania haiitaji rais anayepedwa na wengi bali rais mwenye uwezo wa kuingoza tzn kuitoa mahali ilipo kuipeleka inapotakiwa kwenda.na huyo ni MAGUFULI peke yake.
1. Je ni Lowassa? Rafiki yake mkuu aliyemsaidia kuingia ikulu mwaka 2005?
2. Je ni Bernard Membe anayepigiwa upatu na familia ya Kikwete?
3. Je ni Makongoro Nyerere asiye na makundi ndani ya chama wala kashfa za ufisadi?
Kuna mtu humu anaitwa Lizaboni, just ignore him,do not waste your time! Huyu is not objective yeye ni CCM basi haoni zaidi ya hapo! I hate him, ona alivyoweka comment kwako! Anamsemea JK.. eti hana mtu1. Je ni Lowassa? Rafiki yake mkuu aliyemsaidia kuingia ikulu mwaka 2005?
2. Je ni Bernard Membe anayepigiwa upatu na familia ya Kikwete?
3. Je ni Makongoro Nyerere asiye na makundi ndani ya chama wala kashfa za ufisadi?