Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Kati ya Kikwete na Hosea ni yupi anayetuchezea akili?
Hosea anaona rais hataki mafisadi papa waguswe.
Kikwete anaonyesha hapewi taarifa za wanaohujumu uchumi hata pale anapokuwa na mashaka(mfano richmond na mrithi wake dowans)
sijui ni yupi anayesema kweli?
Hosea anaona rais hataki mafisadi papa waguswe.
Kikwete anaonyesha hapewi taarifa za wanaohujumu uchumi hata pale anapokuwa na mashaka(mfano richmond na mrithi wake dowans)
sijui ni yupi anayesema kweli?