Ni yupi aliye mnafiki?

Jackbauer

JF-Expert Member
Oct 28, 2010
6,038
2,199
Kati ya Kikwete na Hosea ni yupi anayetuchezea akili?
Hosea anaona rais hataki mafisadi papa waguswe.
Kikwete anaonyesha hapewi taarifa za wanaohujumu uchumi hata pale anapokuwa na mashaka(mfano richmond na mrithi wake dowans)

sijui ni yupi anayesema kweli?
 
Hosea na whoever aliye chini ya Jk itifaki inawameza...Kikwete ndiye haswa kiini cha matatizo yote nchini kwa utawala wake wa remote control...
kuna watu wengi tu ndani ya CCM wenye uwezo wa kupeleka vyema jahazi la Chama pwani, tatizo si wana mtandao!...
 
Kati ya Kikwete na Hosea ni yupi anayetuchezea akili?
Hosea anaona rais hataki mafisadi papa waguswe.
Kikwete anaonyesha hapewi taarifa za wanaohujumu uchumi hata pale anapokuwa na mashaka(mfano richmond na mrithi wake dowans)

sijui ni yupi anayesema kweli?


mnafiki ni kikwete kwani huyo mwingine analinda itumbua chake kisiingie mchanga.
 
Back
Top Bottom