JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,261
...bahili mmoja alichukua mwanamke na kwenda kufanya naye mapenzi...alipomaliza haja zake akakataa kumlipa. Akamwambia, "Sikulipi mimi..kwanza nyumba tuliyotumia ni babaangu...halafu kitanda hiki cha bro wangu!" Mwanamke yule akamtazama jamaa kwa hasira. Kisha akamwuliza, " Na hii k*** ni ya sister ako?